KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KAMA ANGELIJUA KESHO YAKE ANGESIMAMISHWA KAZI SIDHANI KAMA ANGEKUWEMO KWENYE HOTUBA YA JK
![](http://4.bp.blogspot.com/-F49qdyK3cuI/VJm2rSNbabI/AAAAAAAAOnw/iruvh8VJsII/s72-c/DSC_3070.jpg)
Katibu Mkuu wizara ya nishati na madini, Eliakim Maswi, aliyesimamishwa, akitafakari jambo, wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia taifa kupitia wazee wa jiji la Dar es Salaam, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Jumatatu Desemba 22, 2014
Katibu Mkuu wizara ya nishati na madini, Eliakim Maswi, aliyesimamishwa, akifuatilia hotuba ya Rais Jakaya Kikwete
Katibu Mkuu wizara ya nishati na madini, aliyesimamishwa, Eliakim Maswi, akielekea kwenye gari lake wakati akitoka ukumbi wa Diamond Jubilee jijini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Ataka kauli za “njoo kesho” zikome
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om37WCvrOe55aAz070KDudDcCnTcuk4b0XUeJMYrQYlzLiZ6sQNk8FVaIZbIJpf6degLuKLMVJRyiPOxTl9AQFK/breakingnews.gif)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI, ELIAKIM MASWI ASIMAMISHWA KAZI KWA MUDA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
KATIBU WIZARA YA NISHATI NA MADINI ATAKA KAULI ZA "NJOO KESHO" ZIKOME
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 May
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Maswi asafishwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ndg. Eliakim Maswi.
PRESS RELEASE – MASWI.doc
10 years ago
StarTV23 Dec
Katibu Mkuu Nishati na Madini asimamishwa kazi.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda , Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama ilivyoelekezwa na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete.
Balozi Sefue amemsimamisha kazi Ndugu Maswi kuanzia , Jumanne, Desemba 23, 2014, kwa kutumia madaraka aliyonayo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo Makatibu Wakuu.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Balozi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uxO7FD_O4cg/UwNZxxwF44I/AAAAAAAFNzU/kwfQPBPWDR0/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Bongo Movies13 Mar
Ommy Dimpoz:Diamond si yupo na Zari au? Sidhani kama amemind mimi kufanya kazi na Wema
Mwanamziki Ommy Dimpoz ameyasema hay oleo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM alipokuwa anautambulisha wimbo wake wa Wanjera ambao mrembo Wema Sepetu amecheza kama Wanjera kwenye video wa wimbo huo na kushiriki kupiga picha za kuutangaza wimbo huo.
Ommy alisema haoni kama kuna tatizo lolote kati yake na swahiba wake huyo licha ya Diamond kutoandika chochote kuhusiana na wimbo huo kama ambavyo amekuwa akifanya kwa wasanii wengine.
“Labda hajaposti yupo busy na simu yake, hata mimi kuna...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s72-c/k-linn.jpg)
K-Lynn azungumzia maisha yake kama mama, kwanini hawezi kurudi kwenye muziki na kazi ya interior design
![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s640/k-linn.jpg)
Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama K-Lynn lakini kupitia tuzo za watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu.
K-Lynn ameiambia Bongo5 kuwa maisha akiwa kama mama watoto wawili mapacha yamekuwa ya aina yake na anayafurahia kila sekunde.“Nimejifunza kuwa mvumilivu, nimejifunza upendo ambao sijawahi kujisikia kabla. Jinsi unavyompenda mtoto ni tofauti ambavyo unaweza kumpenda mtu yoyote yule katika maisha yako,” alisema.
Katika hatua nyingine Miss Tanzania huyo wa...