VIJIJI 10 VYANUFAIKA NA UMEME JUA KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Baadhi ya watalaam kutoka Kampuni ya Elektro Merl ya nchini Austria ambao walileta na kufunga makontena ya umeme wa jua pamoja na mfumo wa usambazaji umeme kwa vijiji 10 vilivyo mbali na gridi ya taifa, pamoja na baadhi ya wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini, wakikagua moja ya makontena ya umeme wa jua katika Kijiji cha Lobilo, wilaya ya Kongwa, mkoani Dodoma hivi karibuni.
Baadhi ya nyumba za wananchi katika Vijiji vya Lobilo na Silale, wilayani Kongwa, mkoa wa Dodoma,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Mar
Wizara yavipatia umeme jua vijiji 10
JUMLA ya vijiji 10 katika wilaya za Kongwa, Mlele na Uyui vimeunganishiwa umeme kupitia mradi wa makontena ya kuzalisha umeme kutokana na jua.
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUmDiD-UbGbBA0lWqrPXqrAST2WNxFCIn-GIknHxO3g2WW4YmetIJa5S9xLlruUYL8BBcDdsDgwaiEVbeMgjvFIW/ScreenShot20150113at2.47.42PM.png?width=750)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uxO7FD_O4cg/UwNZxxwF44I/AAAAAAAFNzU/kwfQPBPWDR0/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5ScASxO7TXY/VCq67tj-ilI/AAAAAAAGmvk/IMGqw7n1nFw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MAAFISA KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Maafisa Wakuu 35 kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini (South African National Defence College – NDC), wametembelea Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Septemba 30, 2014 kwa lengo la kujifunza kuhusu Sera ya Tanzania kuhusu vyanzo vya nishati nchini hususan mafuta, gesi, makaa ya mawe na uvumbuzi wa madini mengine na changamoto zake.
Maafisa hao waliongozwa na Mkuu wa Chuo Brigedia Jenerali G.M. Yekelo pamoja na Maafisa kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sehPEip0RsI/VZMAQ8xB2EI/AAAAAAAHmBI/Fyi3g8UQd-4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)