Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ansaf, RCT waishauri Serikali juu ya ushuru wa mchele

BARAZA la Mchele nchini (RCT) kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya kilimo (ANSAF), wameishauri serikali kutekeleza na kuendeleza sheria ya tozo ya ushuru wa forodha ya asilimia 75 kwa mchele unaotoka nje ya Shirikisho la Afrika Mashariki ili kuwaboreshea bei wakulima wa hapa nchini.


Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima wa mchele, Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Waishauri serikali kufufua Nasaco

JUMUIYA ya Mabaharia nchini (JMT), imeiomba serikali kufufua Shirika la Taifa la Wakala wa Meli Tanzania (Nasaco), ili kuwa na chombo cha kitaifa kitakachosimamia maslahi ya nchi kwenye sekta hiyo na kuondokana na ubadhirifu unaofanywa bandarini.

 

10 years ago

Habarileo

Waishauri serikali kuanzisha korti maalumu za rushwa

VIONGOZI wa vyama vya siasa mkoani Morogoro, wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuanzisha mahakama maalumu ya kushughulikia kesi za rushwa kuongeza ufanisi wa kazi na utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru).

 

9 years ago

StarTV

Vijana walioathirika na Dawa Za Kulevya waishauri Serikali kutoa elimu

Vijana walioathirika na dawa za Kulevya nchini wameishauri Serikali ianze kutoa elimu ya kutambua athari ya utumiaji wa dawa hizo ili kukabiliana na athari ambayo inaweza kujitokeza hapo baadae na kupoteza nguvu kazi ya Taifa.

Ushauri huo umetolewa na Vijana waliojitambua baada ya kutumia dawa za kulevya kwa muda mrefu ambazo zilisababisha baadhi yao kupoteza masomo, kazi na kutengwa na  jamii.

 Frank John ni Mkurugenzi wa kituo cha Ties that Bind Recovery ambaye pia ni muathirika wa dawa...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kushusha ushuru wa mafuta leo?

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.SERIKALI leo inatazamiwa kujibu hoja mbalimbali zilizoibuka wakati wa mjadala wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.

 

10 years ago

Michuzi

Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na  utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWATAKA MAAFISA MADINI KUTHIBITISHA USHURU MIGODINI

Na Asteria Muhozya, NzegaSERIKALI imesema Ushuru wowote unaotolewa kwenye Maeneo ya Migodi Nchini ni lazima uthibitishwe na Maafisa Madini walioko kwenye maeneo husika.
Tamko hilo lilitolewa Mei 24, 2020  na Waziri wa Madini Doto Biteko wakati akizungumza na Wachimbaji  Wadogo wa Madini ya Dhahabu eneo la Lusu Wilayani Nzega  Mkoa wa Tabora alipotembelea eneo hilo kuangalia shughuli za uchimbaji madini.
Aidha, tamko hilo linafuatia kuwepo kwa malalamiko toka kwa wachimbaji wanaofanyakazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imeona mbali kuongeza ushuru sukari inayoagizwa nje

Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16, iliyosomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya inaainisha mpango wa makusudi wa Serikali wa kuizuia sukari kutoka nje ya nchi kuingia katika soko la ndani kirahisi.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAIOMBA SERIKALI KUONDOA USHURU KWA VIFAA VYA MICHEZO.

TFF yaiomba serikali kuondoa ushuru kwa vifaa vya michezo ili kutoa fursa ya kuibua vipaji vya wanamichezo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ansaf yazindua jukwaa la kilimo

TAASISI isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na masuala ya kilimo (Ansaf) leo inatarajia kuzindua jukwaa la wadau watakaoangalia mazao ya mikunde na nafaka ili kuondoa changamo zinazowakabili wakulima. Akizungumza na waandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani