Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waishauri serikali kufufua Nasaco

JUMUIYA ya Mabaharia nchini (JMT), imeiomba serikali kufufua Shirika la Taifa la Wakala wa Meli Tanzania (Nasaco), ili kuwa na chombo cha kitaifa kitakachosimamia maslahi ya nchi kwenye sekta hiyo na kuondokana na ubadhirifu unaofanywa bandarini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waishauri serikali kuanzisha korti maalumu za rushwa

VIONGOZI wa vyama vya siasa mkoani Morogoro, wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuanzisha mahakama maalumu ya kushughulikia kesi za rushwa kuongeza ufanisi wa kazi na utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru).

 

10 years ago

Michuzi

Ansaf, RCT waishauri Serikali juu ya ushuru wa mchele

BARAZA la Mchele nchini (RCT) kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya kilimo (ANSAF), wameishauri serikali kutekeleza na kuendeleza sheria ya tozo ya ushuru wa forodha ya asilimia 75 kwa mchele unaotoka nje ya Shirikisho la Afrika Mashariki ili kuwaboreshea bei wakulima wa hapa nchini.


Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima wa mchele, Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf,...

 

9 years ago

StarTV

Vijana walioathirika na Dawa Za Kulevya waishauri Serikali kutoa elimu

Vijana walioathirika na dawa za Kulevya nchini wameishauri Serikali ianze kutoa elimu ya kutambua athari ya utumiaji wa dawa hizo ili kukabiliana na athari ambayo inaweza kujitokeza hapo baadae na kupoteza nguvu kazi ya Taifa.

Ushauri huo umetolewa na Vijana waliojitambua baada ya kutumia dawa za kulevya kwa muda mrefu ambazo zilisababisha baadhi yao kupoteza masomo, kazi na kutengwa na  jamii.

 Frank John ni Mkurugenzi wa kituo cha Ties that Bind Recovery ambaye pia ni muathirika wa dawa...

 

11 years ago

Daily News

Litigation involving Nasaco block rages


Litigation involving Nasaco block rages
Daily News
THE dispute over the provision of consultancy services for the refurbishment of the former Nasaco building situated in the centre of Dar es Salaam has finally reached the Court of Appeal with an architectural consultancy company, Ramani Consultant Limited, ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City waishauri Bodi ya Ligi 

KLABU ya Mbeya City imetoa ushauri kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa na utaratibu wa kupanga na kutoa mapema ratiba ya Ligi Kuu Tanzania bara kuziwezesha timu shiriki kujiandaa...

 

10 years ago

StarTV

Wafugaji Longido kufufua majosho.

Na Ramadhani Mvungi,

Arusha.

 

Wafugaji katika Kata ya Tingatinga wilayani Longido mkoani Arusha wameanza mpango wa kufufua upya matumizi ya majosho ya kuogeshea mifugo.

 

Hatua hii inalenga kukabiliana na magonjwa yaliyokuwa yakisumbua mifugo kwa muda mrefu na kuwasababishia hasara kubwa.

 

Mwenyekiti wa umoja wa wafugaji wa Kata Tingatinga Ally Marandu aliiambia Startv iliyowatembelea wafugaji hao kuwa utaratibu unaotumika ni kwa kila mfugaji kuchangia kiasi cha fedha kwa kila...

 

10 years ago

Habarileo

Mwekyembe ajivunia kufufua TRL

MOJA ya mafanikio ya wazi ya Serikali ya Awamu ya Nne katika usafirishaji, ni kufufuliwa kwa Shirika la Reli Tanzania (TRL), ambalo lilikuwa limekufa na kupoteza uwezo wake wa kiuendeshaji. Akizungumza katika semina ya madereva wa treni mkoani Dodoma jana, Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alieleza namna shirika hilo lilivyokuwa hoi mwaka jana na kufafanua kazi iliyofanyika kwa muda mfupi kulifufua na matarajio yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani