Kinana amvaa Sefue.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemuomba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuwasimamisha kazi watumishi wa serikali wanaihusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu Tanzania (Bot) hadi hapo tuhuma dhidi yao zitakamalizika.
Kinana alitoa ombi hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Dodoma juzi jioni ikiwa ni sehemu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Kinana amvaa Lowassa Arusha
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mongela amvaa JK
WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bulaya amvaa Wassira
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mahanga amvaa Magufuli
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wenje amvaa Meya
MBUNGE wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amemshambulia Meya wa jiji hilo, Stanslaus Mabula (CCM), akimuita ni mzigo aliyesababisha jiji kuwa na ukata mkubwa wa fedha za maendeleo. Alisema...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7WneleXFhgRJDYmN2-UOCoFBLzHtNm-ZoH7-CxVrmsFimejlmTMtCB0dSbIassqNx4s1npRnfdqk6mnL2qe6Z9m4E/mrembo.jpg?width=650)
SHOMBESHOMBE AMVAA DIAMOND
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632qUN1i9faTuQ1UuBuIA8NI-rV92zNi7Px8-GJc03w2BDLLCp3CHLrrNa8Gi2sssuwr7BT76f-38Obbk0nzu2r7I/loga.gif?width=650)
Loga amvaa Maximo
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Jaji Werema amvaa Warioba
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanayo mamlaka ya kurekebisha, kupunguza na kuongeza vipengele kwenye rasimu ya Katiba mpya itakayoanza kujadiliwa wiki...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Dk. Slaa amvaa JK kashfa ya ujangili
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema kwamba hakuna namna ambavyo Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inaweza kukwepe kuhusishwa na tuhuma za ujangili wa...