Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mongela amvaa JK

WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mongela aibukia Chadema

Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix

Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Gertrude Mongela, ameibukia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (BAWACHA), na kueleza kwamba wanawake...

 

10 years ago

TheCitizen

Our democracy on test: Mongela

Influential thinkers, actors and motivators of philanthropy in Africa are in Arusha

 

9 years ago

Habarileo

Mongela akemea rushwa hospitalini

MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongela ameonya wataalamu wa idara ya afya hususani katika zahanati na vituo vya afya, wanaojihusisha na vitendo vya kuomba rushwa kwa wajawazito.

 

10 years ago

Michuzi

MWANAHABARI DEOGRATIAS MONGELA ALIVYO UKACHA UKAPERA

 Deogratias Mongela akiwa na mke wake Elizabeth Sanga wakati wa hafla ya ndoa yao iliyofanyika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana baada ya kufunga ndoa Katika Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mbezi Luis Dar es Salaam jana. Maharusi hao (katikati) wakiwa na wapambe wao kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Cobson Nzige na mke wake Subira Nzige (kulia), 'hakika wamependeza si mnawaona'.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akimpongeza bwana harusi Deogratias...

 

10 years ago

IPPmedia

Mongela:Gender parity means equal access to opportunities


IPPmedia
Mongela:Gender parity means equal access to opportunities
IPPmedia
The Arusha District Commissioner John Mongela said gender inequality has to be acted upon until parity is realized between women and men as well as between girls and boys. Mongela was officiating at a two-day East Africa Regional Equality conference in ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BALOZI GERTRUDE MONGELA: Mtetezi wa haki za binadamu tangu utoto

LEO katika safu yetu tunawaletea Mwana Mama Balozi Gertrude Mongela. Si kwamba tumekiuka msimamo wa safu hii wa kuwaibua wanawake wa pembezoni waliofanya makubwa na hawasikiki; maana Balozi Getrude, si...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BALOZI GERTRUDE MONGELA: Mwanasiasa anayeifikishia ujumbe jamii bila makelele

KATIKA safu yetu tunawaletea Mwanamama Balozi Gertrude Mongella. Si kwamba tumekiuka msimamo wa safu hii wa kuwaibua wanawake wa pembezoni waliofanya makubwa na hawasikiki kwa kuwa Balozi Mongella, si mwanamke...

 

10 years ago

GPL

MWANAHABARI DEOGRATIAS MONGELA ALIVYO UKACHA UKAPERA KWA KUMUOA ELIZABETH SANGA DAR ES SALAAM JANA


Mwanahabari Deogratias Mongela wa Kampuni ya Global Publishers Ltd.
Bibi Harusi, Elizabeth Sanga.
Deogratias Mongela akiwa na mke wake Elizabeth Sanga wakati wa hafla ya ndoa yao iliyofanyika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana baada ya kufunga ndoa Katika Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mbezi Luis Dar es Salaam jana.…

 

10 years ago

Vijimambo

Kinana amvaa Sefue.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemuomba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuwasimamisha kazi watumishi wa serikali wanaihusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu Tanzania (Bot) hadi hapo tuhuma dhidi yao zitakamalizika.

Kinana alitoa ombi hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Dodoma juzi jioni ikiwa ni sehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani