Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI GERTRUDE MONGELA: Mwanasiasa anayeifikishia ujumbe jamii bila makelele

KATIKA safu yetu tunawaletea Mwanamama Balozi Gertrude Mongella. Si kwamba tumekiuka msimamo wa safu hii wa kuwaibua wanawake wa pembezoni waliofanya makubwa na hawasikiki kwa kuwa Balozi Mongella, si mwanamke...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

BALOZI GERTRUDE MONGELA: Mtetezi wa haki za binadamu tangu utoto

LEO katika safu yetu tunawaletea Mwana Mama Balozi Gertrude Mongela. Si kwamba tumekiuka msimamo wa safu hii wa kuwaibua wanawake wa pembezoni waliofanya makubwa na hawasikiki; maana Balozi Getrude, si...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa

Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.

 

9 years ago

Vijimambo

Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi

Ujumbe wa maafisa wanane kutoka Tanzania ulioko nchini Malawi kwa ziara ya kimafunzo umemtembelea Mhe. Victoria R. Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi, ofisini kwake mjini Lilongwe. Ujumbe huo wenye maafisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Ofisi ya Rais –Utumishi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Fedha, Clinton Health Access Initiative (CHAI), na Mpango wa Taifa wa Kuthibiti UKIMWI (National Aids...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo asambaza ‘Makelele’

HATIMAYE mkali wa muziki wa Bongo fleva nchini, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Makelele’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema ameamua kuachia...

 

11 years ago

Mwananchi

Inabidi tuyapigie kelele haya makelele

Maisha yameshakuwa kelele tupu na kimya imeshakuwa bidhaa adimu hasa katika maeneo ya mijini.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AKUTANA NA UJUMBE WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wa Kwanza kutoka kulia akiuhakikishia Ujumbe wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kwamba Uchaguzi Mkuu wa Tarehe 25 Mwezi huu utafanyika katika misingi ya haki na amani hapa Zanzibar.
Ujumbe huo unaoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake Bwana Joseph Butiku wa Pili kutoka Kushoto up[o Zanzibar kukutana na Viongozi wa ngazi za juu kujaribu kusaidia mawazo ya kuona Taifa linaendelea kudumisha amani iliyopo Nchini. Picha na –OMPR – ZNZ.


Makamu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Ujumbe wa wanajeshi wamtembelea Balozi wa Tanzania nchini Malawi

Balozi wa Tanzania, nchini Malawi Mhe. Patrick Tsere (watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wanajeshi sita ukiongozwa na Brigedia Jenerali Ernest Golinoma Mstaafu (wanne kutoka kulia) walipo mtembelea Ofisini kwake wakiwa na Tuzo walizopata baada ya kushiriki mashindano ya mchezo wa gofu yaliyofanyika mwishoni mwa juma, mjini Lilongwe. Ujumbe huo wa wanajeshi kutoka Tanzania ulikuwa umealikwa na Jeshi la Malawi kucheza gofu ikiwa ni maadhimisho ya kuwakumbuka...

 

5 years ago

Michuzi

Zainab -ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio kujiepusha na vitambi










NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE



OFISA Lishe wa halmashauri ya Chalinze,mkoani Pwani, Zainab Waziri ,ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio na kuzingatia lishe bora kwa afya ya binadamu ili kujiepusha kupata uzito mkubwa, vitambi na matumbo makubwa kwa akinamama.

Akizungumza wakati wa zoezi la upimaji uzito wa mwili,sukari ,shinikizo la damu na upimaji wa hali ya lishe, kwa watumishi wa halmashauri hiyo ,alisema wameamua kufanya zoezi hilo ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa EU hapa nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Kiongozi wa Ujumbe wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Balozi Filberto Cerian Sebregondi alipofika Wizarani kwa mazungumzo kuhusu ushirikiano kati ya Jumuiya hiyo na Tanzania na pia kujitambulisha kwa Balozi Mulamula ambaye ameteuliwa hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje. Maafisa Mambo ya Nje Waandamizi wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mulamula na Balozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani