Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inabidi tuyapigie kelele haya makelele

Maisha yameshakuwa kelele tupu na kimya imeshakuwa bidhaa adimu hasa katika maeneo ya mijini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo asambaza ‘Makelele’

HATIMAYE mkali wa muziki wa Bongo fleva nchini, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Makelele’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema ameamua kuachia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BALOZI GERTRUDE MONGELA: Mwanasiasa anayeifikishia ujumbe jamii bila makelele

KATIKA safu yetu tunawaletea Mwanamama Balozi Gertrude Mongella. Si kwamba tumekiuka msimamo wa safu hii wa kuwaibua wanawake wa pembezoni waliofanya makubwa na hawasikiki kwa kuwa Balozi Mongella, si mwanamke...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA: KUFANYA KAZI NA RAIS MAGUFULI INABIDI UJIPANGE NI MCHAKAMCHAKA KWELIKWELI

"Kufanya kazi na Mhe. Rais
@MagufuliJP inabidi ujipange ni mchakamchaka kwelikweli, yaani anazungumza kama hataki lakini ndiyo anamaanisha hivyo. Ukilipwa mshahara ujue umefanya kazi kweli" - Mwita Waitara, Naibu Waziri TAMISEMI

 

9 years ago

Raia Mwema

Naona kwamba sasa inabidi kutunga sheria nyingine ya Makosa ya Jukwaa

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

9 years ago

Bongo5

Nuh Mziwanda adai aliambiwa ili asaidiwe kimuziki inabidi asafirishe unga

Nuh - Hadithi

Baada ya Shilole kudai kuwahi kushawishiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya katika muziki wake, mpenzi wake Nuh na yeye amekiri kukutana na changamoto hiyo hiyo.

Nuh - Hadithi

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Nuh alisema kama angekuwa anataka mafanikio ya haraka angekuwa ameshapotea.

“Wengi waliokuja walikuwa wananiambia issue za kuuza madawa ya kulevya, nianze kusafiri ili niweze kupata pesa ya kuendeleza muziki wangu,” alisema Nuh.

Aliongeza, “Mimi ni...

 

11 years ago

GPL

ATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO

Mwanamke huyo akiwa na boksi, huku akila wakati akikatiza mitaa ya Kariakoo (Pembeni ni wapita njia).
Akiwa kabeba boksi, juu lina  samaki wadogo, kitunguu na kipande cha chungwa.
Hapa akikatiza mitaani …

 

10 years ago

Habarileo

Nape- Wapinzani acheni kelele

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani