Inabidi tuyapigie kelele haya makelele
Maisha yameshakuwa kelele tupu na kimya imeshakuwa bidhaa adimu hasa katika maeneo ya mijini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Dullayo asambaza ‘Makelele’
HATIMAYE mkali wa muziki wa Bongo fleva nchini, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Makelele’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema ameamua kuachia...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
BALOZI GERTRUDEÂ MONGELA: Mwanasiasa anayeifikishia ujumbe jamii bila makelele
KATIKA safu yetu tunawaletea Mwanamama Balozi Gertrude Mongella. Si kwamba tumekiuka msimamo wa safu hii wa kuwaibua wanawake wa pembezoni waliofanya makubwa na hawasikiki kwa kuwa Balozi Mongella, si mwanamke...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iieJFNVyN48/Xvbw0ilk2uI/AAAAAAABMnk/DRSFCV9v4-w0jfFI9DZ4mJ1ZcR065SszACLcBGAsYHQ/s72-c/Ebf9VKaWsAA5cM8.jpeg)
WAITARA: KUFANYA KAZI NA RAIS MAGUFULI INABIDI UJIPANGE NI MCHAKAMCHAKA KWELIKWELI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iieJFNVyN48/Xvbw0ilk2uI/AAAAAAABMnk/DRSFCV9v4-w0jfFI9DZ4mJ1ZcR065SszACLcBGAsYHQ/s400/Ebf9VKaWsAA5cM8.jpeg)
@MagufuliJP inabidi ujipange ni mchakamchaka kwelikweli, yaani anazungumza kama hataki lakini ndiyo anamaanisha hivyo. Ukilipwa mshahara ujue umefanya kazi kweli" - Mwita Waitara, Naibu Waziri TAMISEMI
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Naona kwamba sasa inabidi kutunga sheria nyingine ya Makosa ya Jukwaa
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Bongo512 Nov
Nuh Mziwanda adai aliambiwa ili asaidiwe kimuziki inabidi asafirishe unga
![Nuh - Hadithi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Nuh-Hadithi-300x194.png)
Baada ya Shilole kudai kuwahi kushawishiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya katika muziki wake, mpenzi wake Nuh na yeye amekiri kukutana na changamoto hiyo hiyo.
Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Nuh alisema kama angekuwa anataka mafanikio ya haraka angekuwa ameshapotea.
“Wengi waliokuja walikuwa wananiambia issue za kuuza madawa ya kulevya, nianze kusafiri ili niweze kupata pesa ya kuendeleza muziki wangu,” alisema Nuh.
Aliongeza, “Mimi ni...
11 years ago
GPLATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO
10 years ago
Habarileo07 Oct
Nape- Wapinzani acheni kelele
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.