Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nuh Mziwanda adai aliambiwa ili asaidiwe kimuziki inabidi asafirishe unga

Nuh - Hadithi

Baada ya Shilole kudai kuwahi kushawishiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya katika muziki wake, mpenzi wake Nuh na yeye amekiri kukutana na changamoto hiyo hiyo.

Nuh - Hadithi

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Nuh alisema kama angekuwa anataka mafanikio ya haraka angekuwa ameshapotea.

“Wengi waliokuja walikuwa wananiambia issue za kuuza madawa ya kulevya, nianze kusafiri ili niweze kupata pesa ya kuendeleza muziki wangu,” alisema Nuh.

Aliongeza, “Mimi ni...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nuh Mziwanda adai BASATA wamemalizana na Shilole, wao wakanusha

Nuh Mziwanda amedai kuwa kabla Shilole hajaondoka kwenda nchini Marekani walimalizana kila kitu na BASATA. Nuh amesema vibali alivyochukua Shilole BASATA ndio vilivyomwezesha kuchukua visa ya kusafiria. “Ili upate urahisi wa kupata visa lazima upate vibali vyote vya BASATA,” Nuh aliambia XXL ya Clouds FM. “Kwahiyo ilibidi awe na vibali vyote vya BASATA kwasababu BASATA […]

 

10 years ago

Bongo5

‘Ndoa inafuata’ adai Nuh Mziwanda baada ya kumvisha pete ya uchumba Shilole

Nuh Mziwanda na Shilole ni wachumba halali. Nuh alimvisha Shilole pete ya uchumba weekend hii wakati akisherehekea siku yake ya kuzaliwa. Sherehe hiyo ilihudhuriwa na mastaa kibao. Nuh ameiambia Bongo5 kuwa ndoa ni hatua inayofuata muda si mrefu. “Kila siku naupdate vitu vipya katika maisha yake, nimechora tattoo ya kwanza Shishi baby, nikaja tena kwa […]

 

10 years ago

GPL

SHILOLE, NUH MZIWANDA

IMEGUNDULIKA kuwa uhusiano wa staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, na mpenziwe Nuh Mziwanda ni kazi bure kwani uwezekano wa kufunga ndoa kati yao haupo kutokana na kupishana imani.Ishu hiyo imejidhihirisha juzikati nyumbani kwa wawili hao Mwananyamala-Manjunju jijini Dar, baada ya paparazi wetu kuwaibukia na kutaka kujua malengo yao zaidi kama wana mpango wa kuoana au la, msikie kwanza Nuh: Staa wa Mduara,...

 

10 years ago

CloudsFM

Snura amponda Nuh Mziwanda

Staa wa muziki nchini Tanzania Snura aamua kumpa makavu mchumba wa Shilole Nuh Mziwanda na kumuonya asiwe anaingilia bifu za wanawake kwani hazimuhusuSnura alikasilishwa na kauli za Nuh Mziwanda kusema hawezi kumfikia mchumba wake Shilole labda ashindane na kina Pam Dafa kwasababu shilole kafika mbali kimuziki na hampati hata kidogo Snura akamuua kumwambia Nuh asiwe anafatilia mambo ya wanawake hayamuhusu

 

10 years ago

CloudsFM

Shilole: Marafiki wananigombanisha na Nuh Mziwanda

MSANII wa muziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.

Shilole alidai kuwa mara nyingi wamekuwa wakigombana, lakini chanzo kikiwa ni maneno ya uchonganishi kutoka kwa marafiki zao wa karibu ambao wana lengo la kuwatenganisha. Mwanadada huyo alidai kutokana na hali hiyo, hivi sasa ameamua kutowahusisha suala lolote linalohusu maisha yake ili kupunguza migogoro ya mara kwa...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

SHILOLE: SASA NAMZALIA NUH MZIWANDA

Chande Abdallah Kutoka kwenye mtima! Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungukia ishu ya kumbebea mimba mpenzi wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ili kuwafunga midomo wanawake wa mjini ambao wanamzengea jamaa huyo. Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa katika pozi na mpenzi wake Nuhu Mziwanda. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shilole alitiriria kuwa, kwa muda mrefu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani