Faiza Awashukia Mastaa Wanaobweteka Wakishapata Mabwana na Kununuliwa Magari
Haya ndio maoni ya mrembo na staa wa Bongo Movies, Faiza Ally juu ya sanaa ya uigizaji hapa Bongo, ususani vipaji vipya.
“Kama wasanii wa kuigiza filamu wangekua kweli wako kisanaa na wanapenda kazi zao basi naamini vipaji vingeongezeka mara dufu lakini tatizo wakisha pata mabwana tu na kununuliwa magari wanasahau kabisa .
Kazi zao wanakua sio wabunifu tena - ubunifu wao unakua kugawana wanaume- kubadilisha nywele- nguo mwisho wa siku wana shuka katika uigizaji.
Kazi zao unakuta katika...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM29 Jun
Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha
Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;
Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!
Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Mahakimu wa wilaya kununuliwa magari
IDARA ya Mahakama Tanzania inatarajia kununua magari kwa Mahakimu wa Wilaya nchini. Lengo la hatua hiyo ni kuboresha utendaji wa kazi za mahakama wanazozisimamia, zikiwemo za Mahakama za Mwanzo.
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha, Adai Wamkomee
Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;
Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!
Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdaey0GJlNkSjXbqV1bEGkG2xg324epB5GpnuZ5dH5rtj8pQFmrPqwnV9N5Yx-eSGpW86PZflkj*1kvtRhqlwnO6/lulu.jpg)
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
10 years ago
Bongo529 Sep
Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Habarileo30 May
Taarifa za wahariri kununuliwa zamkera RC
SERIKALI imeelezea kusikitishwa kwake na kuwapo kwa taarifa za baadhi ya vyombo vya habari pamoja na wahariri wake kununuliwa.
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wakazi wa Kagera kununuliwa meli
SERIKALI inatarajia kununua meli mpya kwa ajili ya wananchi wa mkoa wa Kagera, itakayotoa huduma katika Ziwa Victoria. Pia, serikali imetangaza kuwa itanunua meli zingine tatu kwa ajili ya kutoa huduma katika maziwa matatu ya Victoria, Tanganyika na Nyasa, Bunge lilielezwa jana.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Makinda: Wajumbe Bunge la Katiba msikubali kununuliwa