Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakimu wa wilaya kununuliwa magari

IDARA ya Mahakama Tanzania inatarajia kununua magari kwa Mahakimu wa Wilaya nchini. Lengo la hatua hiyo ni kuboresha utendaji wa kazi za mahakama wanazozisimamia, zikiwemo za Mahakama za Mwanzo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Awashukia Mastaa Wanaobweteka Wakishapata Mabwana na Kununuliwa Magari

Haya ndio maoni ya mrembo na staa wa Bongo Movies, Faiza Ally juu ya sanaa ya uigizaji hapa Bongo, ususani vipaji vipya.

“Kama wasanii wa kuigiza filamu wangekua kweli wako kisanaa na wanapenda kazi zao basi naamini vipaji vingeongezeka mara dufu lakini tatizo wakisha pata mabwana tu na kununuliwa magari wanasahau kabisa .

Kazi zao wanakua sio wabunifu tena - ubunifu wao unakua kugawana wanaume- kubadilisha nywele- nguo mwisho wa siku wana shuka katika uigizaji.

Kazi zao unakuta katika...

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.

 Katika ukurasa wa mbele na wa tano wa Gazeti la Nipashe, toleo 0578604 la tarehe 12 Septemba, 2015 kumechapishwa taarifa kwamba “Sefue; Marufuku kutumia magari ya serikali kwenye kampeni”
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”


Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na viongozi wa umoja huo.Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Nationi Ndela akitoa historia ya mgogoro huo mbele ya DC Makonda.Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.  DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda… ...

 

11 years ago

Habarileo

Taarifa za wahariri kununuliwa zamkera RC

SERIKALI imeelezea kusikitishwa kwake na kuwapo kwa taarifa za baadhi ya vyombo vya habari pamoja na wahariri wake kununuliwa.

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Kagera kununuliwa meli

SERIKALI inatarajia kununua meli mpya kwa ajili ya wananchi wa mkoa wa Kagera, itakayotoa huduma katika Ziwa Victoria. Pia, serikali imetangaza kuwa itanunua meli zingine tatu kwa ajili ya kutoa huduma katika maziwa matatu ya Victoria, Tanganyika na Nyasa, Bunge lilielezwa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Makinda: Wajumbe Bunge la Katiba msikubali kununuliwa

>Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amewafunda wajumbe wa Bunge la Katiba, akiwataka kutokubali kununuliwa kwa chai wala fedha na kusahau jukumu lao la kulinda masilahi ya taifa.

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

10 years ago

Habarileo

'Mahakimu acheni ubabe'

JAJI Kiongozi, Shaaban Lila amewataka mahakimu nchini kuacha kutumia ubabe na lugha za ukali wakati wanasikiliza na kutoa uamuzi katika mashauri mbalimbali mahakamani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani