Barongo awaponda mashabiki wa serikali tatu
KATIBU mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Barongo amewapinga viongozi wanaounga mkono mfumo wa serikali tatu unaozungumziwa katika rasimu ya mapendekezo ya Katiba mpya, kwa madai kuwa ni walafi wa madaraka na wanafanya hivyo kwa maslahi yao wenyewe si ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Oct
JK aenda China akiwalilia Lupogo, Barongo
RAIS Jakaya Kikwete ameanza ziara ya siku sita katika Jamhuri ya Watu wa China huku akiwalilia Meja Jenerali Herman Lupogo (76) na Kapteni mstaafu John Barongo (72), ambao wamefariki dunia...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu
SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...
10 years ago
Bongo526 Sep
JB ashindwa kuiachia filamu yake mpya ‘Chungu Cha Tatu’, awaomba mashabiki wavute subira
11 years ago
Habarileo31 Dec
‘Ni serikali tatu’
MUUNDO wa serikali tatu umeendelea kuwa ndani ya Rasimu ya Katiba iliyokabidhiwa jana kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na ambacho Tume ya Mabadiliko ya Katiba imesema ndiyo itakuwa suluhu ya malalamiko juu ya kero za Muungano.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
JK apinga serikali tatu
RAIS Jakaya Kikwete amefanya kampeni ya wazi kutetea mfumo wa serikali mbili unaopiganiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitumia muda mrefu kujaribu kuonyesha ‘ubaya’ wa mfumo wa serikali tatu....
11 years ago
Habarileo17 Jan
‘Tujaribu serikali tatu’
MCHAMBUZI wa masuala ya siasa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Benson Bana, ameshauri Watanzania kujaribu mapendekezo ya Rasimu ya Pili ya Katiba, ya mfumo wa Muungano wa serikali tatu bila hofu na kukabili changamoto zake.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wapinga serikali tatu
KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Habarileo11 Apr
‘Serikali tatu kuibua ubaguzi’
KAMATI za Bunge Maalumu la Katiba zimeanza kuwasilisha bungeni maoni yake, kuhusu mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya, huku wengi wakikataa muundo wa serikali tatu, kwa kusema utaibua hisia za ubaguzi kwa wananchi wa taifa moja.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...