JK aenda China akiwalilia Lupogo, Barongo
RAIS Jakaya Kikwete ameanza ziara ya siku sita katika Jamhuri ya Watu wa China huku akiwalilia Meja Jenerali Herman Lupogo (76) na Kapteni mstaafu John Barongo (72), ambao wamefariki dunia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Matumla Jr ‘amtandika vibayaa’ bondia wa China Wang Xin Hua, aenda kupigana Marekani
Mohamed Matumla Junior akimtupia makonde Mchina Wang Xiu Hua.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Bondia anayetoka kwenye familia yenye kusifika kwenye mchezo huo wa ngumi hapa Nchini Mohamed Matumla Junior usiku wa kuamkia leo Machi 28, ameweza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika mchezo huo baada ya kumshinda bondia mwenzake kutoka China, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator. Mchezo uliochezwa Ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es...
11 years ago
Habarileo24 Feb
Barongo awaponda mashabiki wa serikali tatu
KATIBU mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Barongo amewapinga viongozi wanaounga mkono mfumo wa serikali tatu unaozungumziwa katika rasimu ya mapendekezo ya Katiba mpya, kwa madai kuwa ni walafi wa madaraka na wanafanya hivyo kwa maslahi yao wenyewe si ya nchi.
11 years ago
Habarileo21 Oct
JK aomboleza kifo cha Meja Jenerali Lupogo
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi na pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange kuomboleza kifo cha Meja Jenerali Herman Lupogo aliyeaga dunia Jumapili ya Oktoba 19, 2014, akiwa na umri wa miaka 76 katika Hospitali Kuu ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam ambako alikuwa anapata matibabu.
11 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Mkapa aongoza mazishi ya Meja Jenerali Lupogo
RAIS mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa jana aliwaongoza viongozi mbalimbali na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu Herman Lupogo kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar...
11 years ago
Daily News23 Oct
Maj Gen Lupogo to be laid to rest on Friday
Daily News
RETIRED Major General Herman Cornel Lupogo who died early this week will be buried on Friday at Kinondoni cemetery in Dar es Salaam. A statement issued by the deceased's son, Putila Lupogo said the burial will take place at Kinondoni after a holy ...
11 years ago
AllAfrica.Com23 Oct
Tanzania: Maj Gen Lupogo to Be Laid to Rest on Friday
AllAfrica.com
RETIRED Major General Herman Cornel Lupogo who died early this week will be buried on Friday at Kinondoni cemetery in Dar es Salaam. A statement issued by the deceased's son, Putila Lupogo said the burial will take place at Kinondoni after a holy ...
11 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MEJA JENERALI HERMAN LUPOGO
PICHA...
10 years ago
Vijimambo
KHEDIRA AENDA JUVENTUS

Khedira aenda Juventus
Chelsea na Higuain Bilic kocha mpya West HamAlves abaki Barcelona, Carver ‘out’ NewcastleMabingwa wa Italia, Juventus wamemsajili kiungo mahiri wa Real Madrid na Ujerumani, Sami Khedira ambaye ni mchezaji huru.Khedira (28) alipata kuhusishwa na Arsenal na Chelsea misimu miwili iliyopita, lakini imeelekea kwamba klabu hizo za London hazikumhitaji tena. Manchester United nao walihusishwa naye.
Yawezekana pia kwamba zimezidiwa kete na Wataliano waliofika fainali ya Klabu...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Blatter aenda mahakamani