Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aenda China akiwalilia Lupogo, Barongo

RAIS Jakaya Kikwete ameanza ziara ya siku sita katika Jamhuri ya Watu wa China huku akiwalilia Meja Jenerali Herman Lupogo (76) na Kapteni mstaafu John Barongo (72), ambao wamefariki dunia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Matumla Jr ‘amtandika vibayaa’ bondia wa China Wang Xin Hua, aenda kupigana Marekani

5

Mohamed Matumla Junior akimtupia makonde Mchina Wang Xiu Hua.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Bondia anayetoka kwenye familia yenye kusifika kwenye mchezo huo wa ngumi hapa Nchini Mohamed Matumla Junior usiku wa kuamkia leo Machi 28, ameweza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika mchezo huo baada ya  kumshinda bondia mwenzake kutoka China, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator. Mchezo uliochezwa  Ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Barongo awaponda mashabiki wa serikali tatu

KATIBU mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Barongo amewapinga viongozi wanaounga mkono mfumo wa serikali tatu unaozungumziwa katika rasimu ya mapendekezo ya Katiba mpya, kwa madai kuwa ni walafi wa madaraka na wanafanya hivyo kwa maslahi yao wenyewe si ya nchi.

 

11 years ago

Habarileo

JK aomboleza kifo cha Meja Jenerali Lupogo

RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi na pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange kuomboleza kifo cha Meja Jenerali Herman Lupogo aliyeaga dunia Jumapili ya Oktoba 19, 2014, akiwa na umri wa miaka 76 katika Hospitali Kuu ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam ambako alikuwa anapata matibabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkapa aongoza mazishi ya Meja Jenerali Lupogo

RAIS mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa jana aliwaongoza viongozi mbalimbali na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu Herman Lupogo kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar...

 

11 years ago

Daily News

Maj Gen Lupogo to be laid to rest on Friday


Maj Gen Lupogo to be laid to rest on Friday
Daily News
RETIRED Major General Herman Cornel Lupogo who died early this week will be buried on Friday at Kinondoni cemetery in Dar es Salaam. A statement issued by the deceased's son, Putila Lupogo said the burial will take place at Kinondoni after a holy ...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Maj Gen Lupogo to Be Laid to Rest on Friday


Tanzania: Maj Gen Lupogo to Be Laid to Rest on Friday
AllAfrica.com
RETIRED Major General Herman Cornel Lupogo who died early this week will be buried on Friday at Kinondoni cemetery in Dar es Salaam. A statement issued by the deceased's son, Putila Lupogo said the burial will take place at Kinondoni after a holy ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MEJA JENERALI HERMAN LUPOGO

 Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na mkewe wakiweka shada la maua katika kaburi la Meja Jenerali mstaafu, Herman Lupogo wakati wa mazishi yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Meja Lupogo alifariki Oktoba 19 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo. 
 Mke wa marehemu akiweka shada la maua. Familia ikiweka shada la maua. Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akiweka shada la maua. Mashada ya maua yakiwekwa. Heshima kwa marehemu Meja Jenerali Herman Lupogo.
PICHA...

 

10 years ago

Vijimambo

KHEDIRA AENDA JUVENTUS


Khedira aenda Juventus
Chelsea na Higuain Bilic kocha mpya West HamAlves abaki Barcelona, Carver ‘out’ NewcastleMabingwa wa Italia, Juventus wamemsajili kiungo mahiri wa Real Madrid na Ujerumani, Sami Khedira ambaye ni mchezaji huru.Khedira (28) alipata kuhusishwa na Arsenal na Chelsea misimu miwili iliyopita, lakini imeelekea kwamba klabu hizo za London hazikumhitaji tena. Manchester United nao walihusishwa naye.
Yawezekana pia kwamba zimezidiwa kete na Wataliano waliofika fainali ya Klabu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter aenda mahakamani

Rais wa FIFA Sepp Blatter amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa kamati ya maadili ya FIFA wa kumsimamisha kazi kwa siku tisini .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani