RAZA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UWAKILISHI JIMBO LA UZINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2XtV9vnMb2Q/VaYiJgLKFwI/AAAAAAAHp2M/fwGgt8wmvAY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mohamed Raza Hassanal akichukuwa fomu kwa Katibu Mkuu Wilaya Ali Yusssuf Salimu ya kugombea nafasi ya Uwakilishi kwa Jimbo la Uzini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) huko ya Wilaya ya Kati Dunga aktika Afisi ya Chama hicho.
Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohamed Raza akisaini fomu ya kugombea nafasi ya Uwakilishi mara baada ya kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Wilaya hiyo Ali Yussuf Salimu huko Wilayani.Picha na (Miza Othman -Maelezo Zanzibar).
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-I3ieCzxK6AU/VaadayzVrRI/AAAAAAABCm4/I4TgUYNPOyA/s72-c/487.jpg)
BALOZI SEIF ACHUKUA FOMU KUWANIA UWAKILISHI JIMBO LA MAHONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3ieCzxK6AU/VaadayzVrRI/AAAAAAABCm4/I4TgUYNPOyA/s640/487.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I0Ps8smtyqo/VaadbDbfwQI/AAAAAAABCm8/L95mkRdYg_k/s640/490.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wA_LhheIfPo/VaadbYDc5XI/AAAAAAABCnA/EHh6H-QqyKc/s640/491.jpg)
9 years ago
Vijimambo18 Aug
MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA FOMU YA SERIKALI YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA IRAMBA
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11900005_965256420203096_5206799777640777334_n.jpg?oh=93f20042bff7f879e79644838a8e063b&oe=5635CDA3&__gda__=1450708681_de956b738104bc7659d0c0dd22265749)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11855639_965256443536427_7854052006018475247_n.jpg?oh=c90ca90844409ca0794d2d9cabb44238&oe=56431DA9)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11898624_965256496869755_3959267737132567820_n.jpg?oh=a417250e5bbcfe80621e4fee9240c5bf&oe=5644EC9E&__gda__=1451118871_e5c1168cab42c2fba53a0ebd3c427d05)
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wakili Elias Nawera achukua fomu za kuwania Ubunge jimbo la Kawe Jijini Dar
10 years ago
VijimamboJUMAA MHINA 'PIJEI' ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE, ATAJA VIPAUMBELE VYAKE
10 years ago
VijimamboWAKILI ELIAS NAWERA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi19 Jul
MUSTAFA PANJU ACHUKUA NA KURUDISHA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI AAHIDI UMOJA NA MAENDELEO
![SAM_3880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/8w-bum7k-L2VtnpTOcU6V6WQhQUOioCD2WvG8ifL7BWBVwRQrOxAYN_Rq7cRjsT76uFKnVLUKP2-w5MuFLCJXv1vkQvtdQXYJGB319bLMjoSDVw=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3880.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Mustafa Panju achukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Arusha mjini, ahaidi umoja na maendeleo
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akimkabidhi Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano fomu ya kuwania kinyang’anyiro hicho baada ya kuchukua fomu hiyo jana na kurejesha huku akisisitiza kuwa endapo atafanikiwa kupitishwa na chama hicho au laa atashirikiana na wananchi pamoja na wanaCCM katika kuleta maendeleo katika jimbo hilo ambalo lipo mikononi...