Fedha chafu zinachochea uhalifu — Silima
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, amesema uwepo wa fedha chafu nchini umechangia kuendelea kukua kwa uhalifu. Kwa mujibu wa naibu waziri huyo, matendo hayo ya uhalifu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
‘Msiwachague wanaotumia fedha chafu’
WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu katika chaguzi zijazo. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini nchini, Richard Kasesela wakati...
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Kashfa ya kasisi kujipa 'fedha chafu'
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Wizi wa mtandaoni: Uhalifu mpya unaotishia miamala ya fedha
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Silima: Ajali ni janga la taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema kwa sasa inawekeza zaidi katika mapambano dhidi ya ajali za barabrani kutokana na idadi kubwa ya Watanzania kupoteza maisha.
Imesema kwa sasa ajali zimekuwa janga la taifa kuliko hata ugonjwa wa Ukimwi, hivyo jitihada za haraka zinahitajika katika kudhibiti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, aliyasema hayo jana alipokuwa akipokea hundi ya sh. milioni 40 kutoka kwa Kampuni ya Puma, kwa ajili ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda Usalama...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
10 years ago
Habarileo28 May
Ubunge hautatokana na kiungo cha albino - Silima
WANASIASA wameambiwa kuwa ubunge hautatokana na kiungo cha albino na kuachana na fikra hizo potofu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LOcFe8-LtM0/U5kj6nZfgfI/AAAAAAAFp6s/BaQix4k_h78/s72-c/unnamed+%25283%2529.jpg)
TUWAEPUSHE VIJANA WETU NA UHAFIDHINA- NAIBU WAZIRI SILIMA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s72-c/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU WA NEC WA CCM, PEREIRA AME SILIMA AJITOSA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ametimiza idadi ya wagombea 27
![](https://1.bp.blogspot.com/-UaE95u-suxY/XvRutXTqCuI/AAAAAAAAWxQ/Nwo5q8wIjBsivLheNnzmyNcSBl4Zo_YdwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25282%2529.jpg)