Silima: Ajali ni janga la taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema kwa sasa inawekeza zaidi katika mapambano dhidi ya ajali za barabrani kutokana na idadi kubwa ya Watanzania kupoteza maisha.
Imesema kwa sasa ajali zimekuwa janga la taifa kuliko hata ugonjwa wa Ukimwi, hivyo jitihada za haraka zinahitajika katika kudhibiti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, aliyasema hayo jana alipokuwa akipokea hundi ya sh. milioni 40 kutoka kwa Kampuni ya Puma, kwa ajili ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda Usalama...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI TANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KWqAHFZh9d8/VCE5NQBNpMI/AAAAAAAGlQg/mLlGFocdeO4/s72-c/PIX%2B1..jpg)
NAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWqAHFZh9d8/VCE5NQBNpMI/AAAAAAAGlQg/mLlGFocdeO4/s1600/PIX%2B1..jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mimba za utotoni janga la taifa
INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Tutangaze kipindupindu janga la taifa
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’
10 years ago
Mwananchi29 Jun
NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)