Tutangaze kipindupindu janga la taifa
Mwishoni mwa mwezi uliopita Shirika la Afya Duniani (WHO), liliionya Tanzania kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini na kwamba ikiwa hatua za uhakika hazitachukuliwa, basi kuna uwezekano ugonjwa huo ukaenea hadi nchi jirani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa
Bunge liliambiwa juzi kwamba Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh8.2 trilioni kwa kipindi cha miezi saba tu.
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Silima: Ajali ni janga la taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema kwa sasa inawekeza zaidi katika mapambano dhidi ya ajali za barabrani kutokana na idadi kubwa ya Watanzania kupoteza maisha.
Imesema kwa sasa ajali zimekuwa janga la taifa kuliko hata ugonjwa wa Ukimwi, hivyo jitihada za haraka zinahitajika katika kudhibiti.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, aliyasema hayo jana alipokuwa akipokea hundi ya sh. milioni 40 kutoka kwa Kampuni ya Puma, kwa ajili ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda Usalama...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mimba za utotoni janga la taifa
INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’
Wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Marehemu Julius Kambarage Nyerere, Tanzania iliingia kwenye rekodi ya mataifa tishio barani Afrika katika michezo.
10 years ago
Mwananchi29 Jun
NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga
Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Na Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-psAQLF7R_2U/VRLBZ3-6isI/AAAAAAAHNIk/-TuX10sgpcw/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Kufuatia Kumbukizi UDSM Tutangaze #AjaliBarabaraniJangalaTaifa Tuwajibike kuzipunguza - Mnyika
![](http://2.bp.blogspot.com/-psAQLF7R_2U/VRLBZ3-6isI/AAAAAAAHNIk/-TuX10sgpcw/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
Wakati tukiendelea kuwaombea marehemu na majeruhi na kutoa pole kwa wafiwa na wahanga wakati umefika sasa tutangaze #AjaliBarabaraniJangalaTaifa tuwajibike kuzipunguza.
Kumbukizi katika ukumbi wa Nkurumah ilihusisha ibada, nyimbo maalum na ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania