Kufuatia Kumbukizi UDSM Tutangaze #AjaliBarabaraniJangalaTaifa Tuwajibike kuzipunguza - Mnyika
![](http://2.bp.blogspot.com/-psAQLF7R_2U/VRLBZ3-6isI/AAAAAAAHNIk/-TuX10sgpcw/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Kumbukizi maalum ya tarehe 20 Machi 2015 ya wanafunzi watano wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM) waliopoteza maisha katika ajali ya barabarani imetukumbusha msiba mkubwa wa watu 50 katika ajali moja ya basi na lori ya tarehe 11 Machi 2015.
Wakati tukiendelea kuwaombea marehemu na majeruhi na kutoa pole kwa wafiwa na wahanga wakati umefika sasa tutangaze #AjaliBarabaraniJangalaTaifa tuwajibike kuzipunguza.
Kumbukizi katika ukumbi wa Nkurumah ilihusisha ibada, nyimbo maalum na ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Tutangaze kipindupindu janga la taifa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lsa7O-2X96I/U7jjRzC2IQI/AAAAAAAFvRI/z2ffYVnt5QE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
SOTE TUWAJIBIKE LINAPOKUJA SUALA LA UTAWALA BORA-TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere ni leo
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Pinda kubariki kumbukizi ya Chifu Mkwawa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajia kuwaongoza wanakijiji cha Kalenga na Mkoa wa Iringa katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya aliyekuwa Chifu wa Wahehe, Mkwawa itakayofanyika kijijini hapo Julai 19....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA AFUTA MPANGO WA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kwa kawaida mtawala wa Uingereza anasherehekewa siku ya kuzaliwa mara mbili kila mwaka.
Moja ni siku yake halisi ya kuzaliwa, na nyingine ni siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa Malkia iliyowekwa na serikali.
Kutokana na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya Corona, malkia Elizabeth ameamua kufuta sherehe za kutoa heshima ya mizinga mwaka huu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (amezaliwa 9 Juni 1935) ni mwanasiasa. Kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 alikuwa spika wa Bunge la Tanzani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA HERI MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA MIAKA 85 YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (alizaliwa Juni 9, 1935) ni ambapo mwaka 1995 hadi 2005 alikuwa spika wa Bunge Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa la Tanzania.
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) ATOA NENO KATIKA SIKU YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWASISI WA UUGUZI DUNIANI
Niwaase Wasanii na watu wengine maarufu kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya badala ya kuwatisha kuwa Wauguzi ni watu wabaya Kama alivyofanya msanii mmoja hivi alipomwambia mke wake wakati anaenda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...