Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa shujaa?

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, Edward Lowassa, a

Waandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Ningemwona Lowassa shujaa kama angekimbilia msituni

EDWARD Ngoyayi Lowassa, ni miongoni mwa Watanzania wachache katika

Mayage S. Mayage

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Nenda shujaa Mandela

Yametimia. Saa 6:45 kwa saa za Afrika Kusini (sawa na saa 7:45 za Afrika Mashariki) ni muda ambao pengine hautasahaulika katika historia ya nchi hiyo, kwani wananchi wake walishuhudia ukomo wa maisha ya Rais wao wa kwanza mzalendo, Mzee Nelson Mandela.

 

9 years ago

GPL

SLAA NI SHUJAA WA TAIFA

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa. Na Amran kaima
HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina...

 

10 years ago

Mwananchi

Shujaa wa riadha asiyesahaulika

Miongoni mwa viongozi watakaokumbukwa katika sekta ya michezo nchini, bila shaka huwezi kuacha kumtaja aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Kwanza (CDF), Jenerali Mirisho Sarakikya aliyefanya kazi wakati wa utawala wa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta shujaa au msaliti?

Samuel Sitta

Samuel Sitta

Na Waandishi Wetu

HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.

Wakati wengine wakitafsiri matokeo ya kupata theluthi mbili kila upande ili kupitisha Katiba inayopendekezwa kuwa yamembebesha Sitta taswira ya mtu shupavu na shujaa, upande unaompinga unamuona msaliti na kiongozi anayeweza kusababisha kuibuka na kukua kwa ufa mkubwa miongoni mwa jamii.

Hatua yake...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shujaa wa kesho apatikana

KAMPUNI   ya Statoil Tanzania, imewatangaza na kuwazawadia washindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho huku Nassib Lilumba akiibuka mshindi wa shindano hilo  kwa mwaka huu. Akizungumza wakati wa kutangazwa kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Muuaji ajiita shujaa Colorado

Muuaji wa watu 3 katika shambulio katika kliniki ya matibabu nchini Marekani mwezi uliopita amekiri makosa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani