Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nenda shujaa Mandela

Yametimia. Saa 6:45 kwa saa za Afrika Kusini (sawa na saa 7:45 za Afrika Mashariki) ni muda ambao pengine hautasahaulika katika historia ya nchi hiyo, kwani wananchi wake walishuhudia ukomo wa maisha ya Rais wao wa kwanza mzalendo, Mzee Nelson Mandela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wamuaga shujaa wa Afrika Mandela

Zaidi ya marais 90 wameungana na wananchi wa Afrika Kusini katika misa ya wafu ya Nelson Mandela na kusimulia kumbukumbu zao kuhusu Shujaa huyo wa Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

GPL

NENDA KUAMBIANA, UMETUACHIA DUNIA YA KINYONYAJI

Tasnia ya filamu Tanzania imepata pigo kubwa baada ya kufariki kwa Adam Philip Kuambiana. Huyu ni mmoja kati ya waigizaji wachache waliokuwa na uwezo mkubwa.Kuambiana alikuwa na vipaji vingi. Alikuwa muongozaji mzuri sana wa filamu (Director), mwandishi wa Script, mtunzi na zaidi alikuwa muigizaji. Katika kila idara aliyoifanyia kazi, aliitendea haki vilivyo. Ukitaka kujua kama marehemu Kuambiana alikuwa anajua kuongoza filamu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nenda Mzee Saria, umeniachia ujasiri

NI Jumatatu nyingine wadau wa Uwanja wa Kuchonga, tunakutana tena kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni lile lile kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Nedy Music — Nenda Salama

Video mpya kutoka kwa msanii Nedy Music wimbo unaitwa “Nenda Salama” video imeongzwa na Abas Adam

 

10 years ago

BBCSwahili

Je waweza kwenda utupu? nenda Mpenjati

Kwa wale wenye mapenzi ya kubakia utupu watakavyo, wamefunguliwa pwani yao huko Afrika Kusini wajiachie watakavyo,watoto nao ruksa

 

9 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO: NENDA KAMANDA WANGU DEO

Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake. Nakupenda Deo Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka. Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe,...

 

10 years ago

Michuzi

KILIMANJARO WALIVYOZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA

Mwenyekiti wa Kamati ya usalama barabarani mkoani Kilimanjaro, Christopher Lyimo akimkabidhi zawadi mgeni Rasmi, Katibu Tawala wa mkoa huo, Dk. Faisal Issa.
Dkt. Faisal Akikata utepe kuashiria uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani.
Kamanda wa Polisi wa wilaya ya Moshi, Hendry Nguvumali akisoma risala ya Kamati ya usalama barabarani kwa niaba ya Katibu wa Kamati hiyo, Kamanda wa usalama Barabarani mkoa wa Kilimanjaro, Joseph Mwakabonga.
Sehemu ya maandamano katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Official VIDEO | Chief Maker - Nenda Kamwambie

Singer Name:- Chief Maker

 Song Name:- Nenda Kamwambie

 Country;- Tanzania

 Genre;- Bongo Flavour

 Director:- Abdul Omary

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani