Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nenda Mzee Saria, umeniachia ujasiri

NI Jumatatu nyingine wadau wa Uwanja wa Kuchonga, tunakutana tena kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni lile lile kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Saria kuagwa leo

MWILI wa aliyekuwa mwanariadha, kocha na kiongozi wa zamani wa Riadha Tanzania (RT), Ernest Saria aliyefariki usiku wa kuamkia Jumanne, unatarajiwa kuagwa leo saa 3 asubuhi katika kituo cha Polisi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamia waaga mwili wa Saria

ALIYEKUWA Ofisa wa Jeshi la Polisi na kiongozi wa zamani katika mchezo wa Riadha Tanzania (RT), ASP Ernest Saria (69), jana mwili wake uliagwa kwa heshima zote za Jeshi la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji ujasiri si msaada

TUMESHTUSHWA na taarifa zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuwa kuna mtandao mkubwa wa majangili wanaoendesha biashara haramu ya pembe za ndovu. Kauli hii ni ya kushtusha kwa kuwa serikali haipaswi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Deo Filikunjombe: Utiifu, Uzalendo na Ujasiri

"Naambiwa hukai jimboni, unazunguka majimbo mengine. Nataka ushinde tuendeleze kazi ya PAC".

Zitto Kabwe

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi Afrika hawana ujasiri-Mkapa

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa amesema hivi sasa hakuna viongozi wa Afrika wenye ujasiri na uthubutu kama walivyokuwa viongozi waasisi waliopigania uhuru wa nchi za Afrika na kukataa utawala wa kikoloni.

 

10 years ago

Mwananchi

Unafahamu jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?

Ukikutana na mtu akakuuliza; baada ya kumcha Mungu ni jambo gani jingine muhimu unafikiri binadamu anapaswa kulifanya katika maisha yake? Hapana shaka hutaweza kutoa jibu mara moja kwa sababu utajikuta ukifikiria mambo kadhaa, wala hutaweza mara moja kutambua lipi ni muhimu kuliko yote.

 

10 years ago

Mwananchi

Kibagha, mila ‘inayomjengea’ mwanamume ujasiri

Katika taifa lenye zaidi ya makabila 120, si ajabu kuona mila  tofauti nyingine zikiwa na mambo yanayoshangaza.

 

11 years ago

Mwananchi

unatambua jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?

Ukikutana na mtu akakuuliza; baada ya kumcha Mungu ni jambo gani jingine muhimu unafikiri binadamu anapaswa kulifanya katika maisha yake? Hapana shaka hutaweza kutoa jibu mara moja kwa sababu utajikuta ukifikiria mambo kadhaa, wala hutaweza mara moja kutambua lipi ni muhimu kuliko yote.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbinu 15 za kupata ujasiri na kufanikiwa katika maisha

Success

1.Kutoshindana na waliofanikiwa.

Daima mtu ahakikishe anawafanya waliofanikiwa wajione wapo juu. Kama mtu anataka kuwashangaza basi asionyeshe ujuzi wake wote.

Kuwapa waliofanikiwa heshima yao kutamfanya mtu apate msaada na hatimaye afikie kiwango cha juu bila ya kupata tabu nyingi.

Mfano, mtu asishindane na mwajiri wake ili kuonekana anajua sana; asishindane na tajiri katika matumizi hususani mazingira ya kijamii kama baa, misiba n.k. Waliofanikiwa hutafsiri kitendo cha kushindana kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani