Mbinu 15 za kupata ujasiri na kufanikiwa katika maisha
1.Kutoshindana na waliofanikiwa.
Daima mtu ahakikishe anawafanya waliofanikiwa wajione wapo juu. Kama mtu anataka kuwashangaza basi asionyeshe ujuzi wake wote.
Kuwapa waliofanikiwa heshima yao kutamfanya mtu apate msaada na hatimaye afikie kiwango cha juu bila ya kupata tabu nyingi.
Mfano, mtu asishindane na mwajiri wake ili kuonekana anajua sana; asishindane na tajiri katika matumizi hususani mazingira ya kijamii kama baa, misiba n.k. Waliofanikiwa hutafsiri kitendo cha kushindana kama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ujasiri ulivyotengeneza maisha ya ushindi kwa mama wa nyumbani
Meneja Mauzo wa Serengeti Breweries Ltd Mkoa wa Morogoro Bw.Moses Bartazary (mwenye kofia) akikabidhi Funguo ya Bajaj Limo yenye uwezo wa kubeba abiria saba kwa mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti Bi Rukia Almas ambaye ni mkazi wa Kihonda na mfanyakazi katika Bar ya Kambarage iliyopo manispaa ya Morogoro.
Kwa miaka kadhaa, Rukia Almasi, mkazi wa Morogoro amekuwa akizongwa na uvumi kwamba kushiriki promosheni za bahati nasibu ni kupoteza muda, na kwamba ushindi...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
MWANAMKE: Ujasiri katika uamuzi ndiyo umenifikisha hapa
10 years ago
Bongo512 Sep
Unataka kufanikiwa? Hakuna njia ya mkato katika mafanikio
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Unachohitaji kukifanya ili kufanikiwa katika sarakasi za kupindisha mwili
9 years ago
MichuziBaraza la Taifa la Ujenzi lapokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015
Baraza la Taifa la Ujenzi limepokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015 kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia majukumu ya Baraza hilo katika kutatua Migogoro inayojitokeza katika Sekta hiyo, Mhandisi Chamuriho amebainisha kuwa migogogoro...
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya corona: Mbinu ya kuwalaza wagonjwa wa corona kifudifudi inavyookoa maisha yao
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.
Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...
10 years ago
Mtanzania13 May
Serikali yapewa mbinu kujikimu katika bajeti
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
WAKATI Tanzania ikiwa imeshindwa kutekeleza Malengo ya Milenia wadau wa uchumi wametoa mbinu za kujikimu katika bajeti badala ya kutegemea nchi wahisani.
Malengo manane ya Milenia ni pamoja na suala la kuondoa umasikini na njaa, elimu ya msingi kwa wote, usawa wa jinsia, kuzuia vifo vya watoto, afya ya uzazi, kupambana na Ukimwi, malaria na magonjwa mengineyo.
Akizungumza katika mkutano kuhusu Malengo ya Milenia, Dar es Salaam jana, Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi...