Unachohitaji kukifanya ili kufanikiwa katika sarakasi za kupindisha mwili
Mwanasarakasi Aleksei Goloborodko amekua akipindisha mwili wake katika muonekano wa kushangaza tangu alipokua na umri wa miaka mine.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Mbinu 15 za kupata ujasiri na kufanikiwa katika maisha
1.Kutoshindana na waliofanikiwa.
Daima mtu ahakikishe anawafanya waliofanikiwa wajione wapo juu. Kama mtu anataka kuwashangaza basi asionyeshe ujuzi wake wote.
Kuwapa waliofanikiwa heshima yao kutamfanya mtu apate msaada na hatimaye afikie kiwango cha juu bila ya kupata tabu nyingi.
Mfano, mtu asishindane na mwajiri wake ili kuonekana anajua sana; asishindane na tajiri katika matumizi hususani mazingira ya kijamii kama baa, misiba n.k. Waliofanikiwa hutafsiri kitendo cha kushindana kama...
10 years ago
Bongo512 Sep
Unataka kufanikiwa? Hakuna njia ya mkato katika mafanikio
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Ajitolea majaribio ya kukatwa kichwa ili abadilishiwe mwili
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0yQPJeTm14/VoOsDzqnbMI/AAAAAAAIPUc/FmK1dr-HylM/s72-c/704aa766-9e89-4262-8e93-1dfcc3b20a28.jpeg)
Baraza la Taifa la Ujenzi lapokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015
Baraza la Taifa la Ujenzi limepokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015 kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia majukumu ya Baraza hilo katika kutatua Migogoro inayojitokeza katika Sekta hiyo, Mhandisi Chamuriho amebainisha kuwa migogogoro...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Mbinu sita za kukifanya kilimo kiwe na tija, kiwavutie Watanzania wengi
9 years ago
StarTV23 Oct
Tundu Lisu avituhumu vyombo vya ulinzi kutaka kutumika kupindisha matokeo
Polisi mkoani Singida imekanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Mgombea Ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lisu akidai kuna vyombo vya ulinzi na usalama kutumika kupindisha ukweli wa matokeo katika jimbo lake.
Wakati wagombea wengine wakiendelea na kampeni za lala salama, Tundu Lisu anayewania kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anakutana na wanandishi wa habari...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Umuhimu wa maji katika mwili
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...