Tundu Lisu avituhumu vyombo vya ulinzi kutaka kutumika kupindisha matokeo
Polisi mkoani Singida imekanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Mgombea Ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lisu akidai kuna vyombo vya ulinzi na usalama kutumika kupindisha ukweli wa matokeo katika jimbo lake.
Wakati wagombea wengine wakiendelea na kampeni za lala salama, Tundu Lisu anayewania kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anakutana na wanandishi wa habari...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI
11 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
11 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR


10 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Sep
Msikilize Tundu Lisu juu ya Slaa
http://www.voaswahili.com/audio/2941250.html
The post Msikilize Tundu Lisu juu ya Slaa appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi
MATIBABU YA TUNDU LISU NCHINI UBELGIJI YALIVYOGEUKA 'MWIBA' KWA MBUNGE CHADEMA

*Atoboa siri ya kamati ya watu sita iliyohusika kwa Lisu
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Anthony Komu(Chadema) amekiri amewahi kuwa na tofauti na viongozi wa ngazi za juu wa Chama hicho na aliamini hayo ni mambo ya kawaida kwa taasisi kubwa na inayokuwa.
Kwa bahati mbaya kuwa na mtazamo tofauti na wenzie kwa kiwango kikubwa umechukuliwa kuwa uasi ndani ya chama jambo linalosababisha...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Wahitimu 16,600 JKT waajiriwa vyombo vya ulinzi
VIJANA 16,594 waliohudhuria mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wameajiriwa na vyombo vya Ulinzi na Usalama kuanzia mwaka 2011 hadi 2014.
10 years ago
Michuzi
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI

Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGWA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LEO
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Dk. Bilal avipasha vyombo vya ulinzi na usalama, waandishi wa habari
NA WILLIAM SHECHAMBO
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama na waandishi wa habari nchini kushirikiana katika majukumu yao ya kazi ili kulinda amani ya nchi.
Pia amezitaka taasisi hizo kuzingatia mipaka yao na katika utendaji ili kuepuka migongano au chuki zinazoweza kutokea wakati wa kutimiza wajibu wao kazini.
Alitoa wito hiyo katika hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam, jana, alipokuwa akifungua mkutano wa mashauriano kati ya vyombo vya...