Msikilize Tundu Lisu juu ya Slaa
http://www.voaswahili.com/audio/2941250.html
The post Msikilize Tundu Lisu juu ya Slaa appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Oct
Tundu Lisu avituhumu vyombo vya ulinzi kutaka kutumika kupindisha matokeo
Polisi mkoani Singida imekanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Mgombea Ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lisu akidai kuna vyombo vya ulinzi na usalama kutumika kupindisha ukweli wa matokeo katika jimbo lake.
Wakati wagombea wengine wakiendelea na kampeni za lala salama, Tundu Lisu anayewania kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anakutana na wanandishi wa habari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
MATIBABU YA TUNDU LISU NCHINI UBELGIJI YALIVYOGEUKA 'MWIBA' KWA MBUNGE CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
*Atoboa siri ya kamati ya watu sita iliyohusika kwa Lisu
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Anthony Komu(Chadema) amekiri amewahi kuwa na tofauti na viongozi wa ngazi za juu wa Chama hicho na aliamini hayo ni mambo ya kawaida kwa taasisi kubwa na inayokuwa.
Kwa bahati mbaya kuwa na mtazamo tofauti na wenzie kwa kiwango kikubwa umechukuliwa kuwa uasi ndani ya chama jambo linalosababisha...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9UepnYcT9Hk/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo02 Sep
TUNDU LISSU AJIBU SHUTUMA ZA DR. SLAA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/s93Zy4xNeZ0/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Tundu Lissu amshukia Dk.Slaa kwa madai ya kuponzwa na mkewe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu,akizungumza kwenye mkutano wa kampeni ya Ukawa mkoa wa Singida uliofanyika kwenye uwanja wa Peoples mjini hapa.Pamoja na mambo mengine,Tundu amewaomba wakazi wa Singida, kumpa kura ya ndiyo mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa, Edward Ngoyai Lowassa, wabunge na madiwani wa Ukawa,ili kuigaragaza CCM kwa madai imechoka na umechuja mbele ya macho ya Watanzania.
Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia ukawa,...
10 years ago
Habarileo30 May
Dk Slaa kuanza ziara Nyanda za Juu Kusini
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa, anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi, ambako atakagua mwenendo wa uandikishaji wa wapiga kura unaofanyika kwa mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR).
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9Dpcenwt5Ug/VXE-eTVTs_I/AAAAAAAAUgU/QpvHtQqxbuE/s72-c/hamjamboo1.jpg)
DKT. SLAA, AENDELEA NA ZIARA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, APIGA DEBE WANANCHI KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Dpcenwt5Ug/VXE-eTVTs_I/AAAAAAAAUgU/QpvHtQqxbuE/s640/hamjamboo1.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Sep
Lisu, Muingereza wakubali kuombea uchaguzi
MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili mwenye maskani yake Uingereza, Ifeanyi Kelechi anatarajia kuiwakilisha Uingereza katika Tamasha la kuombea amani Tanzania linalotarajia kufanyika Oktoba 4, kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.