Wahitimu 16,600 JKT waajiriwa vyombo vya ulinzi
VIJANA 16,594 waliohudhuria mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wameajiriwa na vyombo vya Ulinzi na Usalama kuanzia mwaka 2011 hadi 2014.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ezrRfIIasiw/VfCMBBrjAHI/AAAAAAAC-18/AiKQV72kfjY/s72-c/_MG_4469.jpg)
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ezrRfIIasiw/VfCMBBrjAHI/AAAAAAAC-18/AiKQV72kfjY/s640/_MG_4469.jpg)
Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGWA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LEO
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Dk. Bilal avipasha vyombo vya ulinzi na usalama, waandishi wa habari
NA WILLIAM SHECHAMBO
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama na waandishi wa habari nchini kushirikiana katika majukumu yao ya kazi ili kulinda amani ya nchi.
Pia amezitaka taasisi hizo kuzingatia mipaka yao na katika utendaji ili kuepuka migongano au chuki zinazoweza kutokea wakati wa kutimiza wajibu wao kazini.
Alitoa wito hiyo katika hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam, jana, alipokuwa akifungua mkutano wa mashauriano kati ya vyombo vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ddBPD_USjo/XsfoizyKFQI/AAAAAAALrTU/Nr0bwD6eJLo1cvUpva90JK1HJWpzckJbwCLcBGAsYHQ/s72-c/NJOMBE.jpg)
DC Msafiri aagiza vyombo vya ulinzi kufuatilia bei elekezi ya Sukari
Na Amiri kilagalila,Njombe
Serikali wilayani Njombe imeagiza wafanyabishara wa Sukari wilayani humo kuzingatia bei elekezi iliyopangwa na serikali kufuatwa katika mkoa huo ili kudhibidi mlipuko na wizi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara.
Ili kudhibiti kasi ya ongezeko la bei ya sukari nchini serikali imepanga bei ya sukari kwa kila mkoa kulingana na mazingira na mahitaji kwa kuzingatia sherikali sheria ya Sukari No 26 ya Mwaka 2001(Cap. 251) chini ya kifungu cha 11A ambayo imeutaka...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete atunuku Nishani Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
9 years ago
StarTV23 Oct
Tundu Lisu avituhumu vyombo vya ulinzi kutaka kutumika kupindisha matokeo
Polisi mkoani Singida imekanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Mgombea Ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lisu akidai kuna vyombo vya ulinzi na usalama kutumika kupindisha ukweli wa matokeo katika jimbo lake.
Wakati wagombea wengine wakiendelea na kampeni za lala salama, Tundu Lisu anayewania kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anakutana na wanandishi wa habari...