Rais Kikwete atunuku Nishani Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ametunuku Nishani kwa watumishi wa vyombo vya ulinzi na Usalama nchini katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.Pichani Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watumishi waliotunukiwa nishani za madaraja mbalimbali..Viongozi wengine katika picha waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na Rais Wa Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein(watano kushoto), Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal, na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(picha na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGWA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-si09ivjL9sk/VYnQyc1NHuI/AAAAAAAHjCE/2ZI2LZU-Qfo/s72-c/a21.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI KWA WATUMISHI WA UMMA NA WANANCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-si09ivjL9sk/VYnQyc1NHuI/AAAAAAAHjCE/2ZI2LZU-Qfo/s640/a21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SrPWYX61N-w/VYnQy-A1x5I/AAAAAAAHjCM/CrkHLwM4twU/s640/a24.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI IKULU DAR
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-eTuBDI-p4fw/VAtmVi_wDFI/AAAAAAAGgYA/63LwP77um6M/s1600/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zV1oIWK5kEs/U1tUUBMrYdI/AAAAAAAFdG8/_ch9rcpVAyU/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Rais Kikwete atunuku Nishani na Tuzo Za miaka 50 Ya Muungano
![](http://1.bp.blogspot.com/-zV1oIWK5kEs/U1tUUBMrYdI/AAAAAAAFdG8/_ch9rcpVAyU/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbKCZFCIHow/U1tUR2ipTNI/AAAAAAAFdGc/dL7MINVOz7c/s1600/unnamed+(10).jpg)
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE ATUNUKU NISHANI MAOFISA 30 WA MAJESHI