RAIS KIKWETE AAGWA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LEO
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagewa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Rais Kikwete aagwa na Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini mapema leo jijini Dar es Salaam
Picha ya juu na chini: Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagewa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
…Naaga!!
9 years ago
VijimamboRais Kikwete atunuku Nishani Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b6zzWaYZZ4/XqCezmIkAXI/AAAAAAALn64/EWUIvjvKyO8N_z8bbUFiJuMQ_1LY-njQwCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1255.jpg)
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1255.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto . Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Aprili 22, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-28-scaled.jpg)
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ezrRfIIasiw/VfCMBBrjAHI/AAAAAAAC-18/AiKQV72kfjY/s72-c/_MG_4469.jpg)
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ezrRfIIasiw/VfCMBBrjAHI/AAAAAAAC-18/AiKQV72kfjY/s640/_MG_4469.jpg)
Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Dk. Bilal avipasha vyombo vya ulinzi na usalama, waandishi wa habari
NA WILLIAM SHECHAMBO
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama na waandishi wa habari nchini kushirikiana katika majukumu yao ya kazi ili kulinda amani ya nchi.
Pia amezitaka taasisi hizo kuzingatia mipaka yao na katika utendaji ili kuepuka migongano au chuki zinazoweza kutokea wakati wa kutimiza wajibu wao kazini.
Alitoa wito hiyo katika hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam, jana, alipokuwa akifungua mkutano wa mashauriano kati ya vyombo vya...