RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI IKULU DAR
Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Pius Chipanda Msekwa baada ya kumtunuku Nishani.
Rais Jakaya Kikwete akimvisha Nishani ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Muungano Daraja la Pili Samuel John Sitta.
Rais Jakaya Kikwete akimvisha Nishani ya Ushupavu Kassim Said Kassim ambaye ni muuza Chips katika maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, Kassim alitunukiwa Nishani hiyo baada ya kupambana na jambazi aliyevamina na kupora wateja katika eneo la biashara yake na kumpiga chepe na kusababisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-si09ivjL9sk/VYnQyc1NHuI/AAAAAAAHjCE/2ZI2LZU-Qfo/s72-c/a21.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI KWA WATUMISHI WA UMMA NA WANANCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-si09ivjL9sk/VYnQyc1NHuI/AAAAAAAHjCE/2ZI2LZU-Qfo/s640/a21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SrPWYX61N-w/VYnQy-A1x5I/AAAAAAAHjCM/CrkHLwM4twU/s640/a24.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-eTuBDI-p4fw/VAtmVi_wDFI/AAAAAAAGgYA/63LwP77um6M/s1600/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE ATUNUKU NISHANI MAOFISA 30 WA MAJESHI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zV1oIWK5kEs/U1tUUBMrYdI/AAAAAAAFdG8/_ch9rcpVAyU/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Rais Kikwete atunuku Nishani na Tuzo Za miaka 50 Ya Muungano
![](http://1.bp.blogspot.com/-zV1oIWK5kEs/U1tUUBMrYdI/AAAAAAAFdG8/_ch9rcpVAyU/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbKCZFCIHow/U1tUR2ipTNI/AAAAAAAFdGc/dL7MINVOz7c/s1600/unnamed+(10).jpg)
9 years ago
VijimamboRais Kikwete atunuku Nishani Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
10 years ago
Habarileo24 Jun
Kikwete atunuku Nishani 28
RAIS Jakaya Kikwete amewatunukia Nishani Watumishi wa Umma 28 kutokana na utumishi wa muda mrefu na ushupavu.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Kikwete atunuku nishani maofisa 30 wa majeshi
RAIS Jakaya Kikwete amewatunuku nishani za utumishi uliotukuka, utumishi mrefu na tabia njema maofisa wa majeshi mbalimbali 30. Kati ya maofisa hao, 10 ni kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), 10 kutoka Jeshi la Polisi na 10 wengine wanatoka Jeshi la Magereza.
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Rais atunuku Nishani za miaka 50 ya JWTZ
Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ, Mkuu wa majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli, Septemba 6, 2014.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ baada ya kuwatunuku nishani ...