Kikwete atunuku nishani maofisa 30 wa majeshi
RAIS Jakaya Kikwete amewatunuku nishani za utumishi uliotukuka, utumishi mrefu na tabia njema maofisa wa majeshi mbalimbali 30. Kati ya maofisa hao, 10 ni kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), 10 kutoka Jeshi la Polisi na 10 wengine wanatoka Jeshi la Magereza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE ATUNUKU NISHANI MAOFISA 30 WA MAJESHI
10 years ago
Habarileo24 Jun
Kikwete atunuku Nishani 28
RAIS Jakaya Kikwete amewatunukia Nishani Watumishi wa Umma 28 kutokana na utumishi wa muda mrefu na ushupavu.
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI IKULU DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zV1oIWK5kEs/U1tUUBMrYdI/AAAAAAAFdG8/_ch9rcpVAyU/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Rais Kikwete atunuku Nishani na Tuzo Za miaka 50 Ya Muungano
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa kuamkia leo ametunuku nishani na Tuzo kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa na watumishi wa umma wapatao 86 waliotoa mchango wao katika kuulinda na kuudumisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliodumu kwa miaka Hamsini 50.
Mama Maria Nyerere akipokea nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano(Order) kwa niaba ya Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku Mama Maria Nyerere Nishani ya Kumbukumbu ya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-zV1oIWK5kEs/U1tUUBMrYdI/AAAAAAAFdG8/_ch9rcpVAyU/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbKCZFCIHow/U1tUR2ipTNI/AAAAAAAFdGc/dL7MINVOz7c/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-eTuBDI-p4fw/VAtmVi_wDFI/AAAAAAAGgYA/63LwP77um6M/s1600/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe Magese Mulongo baada ya kuwasili katika Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli, Mkoa wa Arusha. Amiri Jeshi Mkuu...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete atunuku Nishani Watumishi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-si09ivjL9sk/VYnQyc1NHuI/AAAAAAAHjCE/2ZI2LZU-Qfo/s72-c/a21.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI KWA WATUMISHI WA UMMA NA WANANCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-si09ivjL9sk/VYnQyc1NHuI/AAAAAAAHjCE/2ZI2LZU-Qfo/s640/a21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SrPWYX61N-w/VYnQy-A1x5I/AAAAAAAHjCM/CrkHLwM4twU/s640/a24.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z*WFeROO64qEs02k8u2rQXYt1GRaNj40ydp2ayp6qJFQcxyUpkb-xpzEMwPxf9MhxJyrrh*dzk18Ox4qx-974hLPEGdbXvlT/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAOFISA WAPYA WA JESHI
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi na kumpongeza Luteni Usu Mohamed Ramadhani Mgalawe baada ya kuibuka mwanafunzi bora wakati wa hafla ya kuwatunuku kamisheni maafisa wapya 179 wa jeshi la Wananchi waliohitimu vyema mafunzo yao katika chuo cha Jeshi Monduli Mkoani Arusha jana. Rais…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania