Mbinu sita za kukifanya kilimo kiwe na tija, kiwavutie Watanzania wengi
Kwa muda mrefu sekta ya kilimo imekuwa ikizungumziwa kuwa ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, kwa kuwa ndiyo imeajiri asilimia 80 ya wananchi wote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Saccos zina tija sekta ya kilimo
MAENDELEO ya sekta ya kilimo ni muhimu katika jitihada za kuondoa umaskini. Lakini moja ya vikwazo vinavyowakabili wakulima wadogo na wakubwa wa kilimo cha biashara ni kutokuwepo kwa fedha za...
10 years ago
StarTV18 Feb
Kilimo cha chai Morogoro chaonesha tija.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Pamoja na changamoto nyingi zinazowakabili wakulima wa zao la chai Tanzania ikiwemo kuyumba kwa bei ya zao hilo kwenye soko la dunia lakini limeweza kuzitoa kwenye lindi la umaskini kaya zipatazo 30,000 zilizoko katika wilaya 6 nchini zinazozalisha zao hilo.
Katika mkutano wa uzinduzi wa mradi wa utetezi wa wakulima wadogo wa chai nchini ulifanyika mjini Morogoro inabainishwa kuwa pamoja na zao hili kuuzwa bei ndogo kwa kilo katika...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Mbinu sita za kuzuia meno kutoboka, kuoza
TUANZE makala yetu na kifungua mada kutoka kwa washkaji wawili wakijadili jambo fulani na kutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Kwenye haya mashindano ya kuharibu afya zao, kinamama na kinababa nani...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
‘Watanzania tumieni mfumo wa KAIZEN kuleta tija’
WATANZANIA wameshauriwa kujifunza na kuutumia mfumo wa KAIZEN ambao unalenga kuongeza tija katika utendaji kazi, kuleta ufanisi wa uzalishaji na ubora, ili kuchochea maendeleo nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe
WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Lumbesa: Mbinu za kibiashara zinazotishia kuangamiza kilimo
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AITAKA TARI KUFANYA TAFITI ZINAZOLENGA KUONGEZA TIJA NA UZALISHAJI NA KUHAMASISHA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO