Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbinu sita za kukifanya kilimo kiwe na tija, kiwavutie Watanzania wengi

Kwa muda mrefu sekta ya kilimo imekuwa ikizungumziwa kuwa ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, kwa kuwa ndiyo imeajiri asilimia 80 ya wananchi wote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Saccos zina tija sekta ya kilimo

MAENDELEO ya sekta ya kilimo ni muhimu katika jitihada za kuondoa umaskini. Lakini moja ya vikwazo vinavyowakabili wakulima wadogo na wakubwa wa kilimo cha biashara ni kutokuwepo kwa fedha za...

 

10 years ago

StarTV

Kilimo cha chai Morogoro chaonesha tija.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

 

Pamoja na changamoto nyingi zinazowakabili wakulima wa zao la chai Tanzania ikiwemo kuyumba kwa  bei ya zao hilo kwenye soko la dunia lakini limeweza  kuzitoa  kwenye lindi la  umaskini kaya  zipatazo  30,000 zilizoko katika wilaya 6 nchini zinazozalisha zao hilo.

 

Katika mkutano wa uzinduzi  wa mradi wa utetezi  wa wakulima wadogo  wa chai  nchini  ulifanyika mjini Morogoro  inabainishwa kuwa  pamoja na zao hili kuuzwa bei ndogo kwa kilo  katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?

Kati ya yai na kuku kipi kilianza? Hili ni swali ambalo hutumiwa kila panapokuwa na jambo tata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbinu sita za kuzuia meno kutoboka, kuoza

TUANZE makala yetu na kifungua mada kutoka kwa washkaji wawili wakijadili jambo fulani na kutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Kwenye haya mashindano ya kuharibu afya zao, kinamama na kinababa nani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watanzania tumieni mfumo wa KAIZEN kuleta tija’

WATANZANIA wameshauriwa kujifunza na kuutumia mfumo wa KAIZEN ambao unalenga kuongeza tija katika utendaji kazi, kuleta ufanisi wa uzalishaji na ubora, ili kuchochea maendeleo nchini. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri...

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe

WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Lumbesa: Mbinu za kibiashara zinazotishia kuangamiza kilimo

Kwa miaka mingi, mikoa ya Njombe na Iringa ambayo awali ulikuwa mkoa mmoja ina sifa moja inayofanana na inayoweza kuitambulisha kirahisi.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AITAKA TARI KUFANYA TAFITI ZINAZOLENGA KUONGEZA TIJA NA UZALISHAJI NA KUHAMASISHA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akikagua mashamba ya maonesho wakati wa hafla ya ufunguzi wa maonesho ya Kilimo Bishara mwaka 2020 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI-Ilonga) kwa kushirikiana na makampuni ya mbegu tarehe 17 Juni 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akikagua mashamba ya maonesho wakati wa hafla ya ufunguzi wa maonesho ya Kilimo Bishara mwaka 2020 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani