Lumbesa: Mbinu za kibiashara zinazotishia kuangamiza kilimo
Kwa miaka mingi, mikoa ya Njombe na Iringa ambayo awali ulikuwa mkoa mmoja ina sifa moja inayofanana na inayoweza kuitambulisha kirahisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMKOA WA KATAVI KULETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KILIMO KWA MAZAO YA KIBIASHARA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qUuXOhvthL8/Xl_YMNTnjmI/AAAAAAAEF_s/6THVZiRTqXI7wE0_ulbcS09pR6IOpIZhQCLcBGAsYHQ/s640/Miche%2Bya%2Bzao%2Bla%2Bkorosho%2Bambayo%2Bimeonekana%2Bkustawi%2Bvizuri%2Bambapo%2Bkwa%2Bkuanza%2Bmkoa%2Bwamezalisha%2Bmiche%2Blaki%2Bsita%2B%2Bna%2Bkusambaza%2Bkataika%2Bmaenza%2Bmkoa%2Bwa%2BKatavi.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-I6s2KdLemNE/Xl_YLkqxxyI/AAAAAAAEF_k/R7_AeKhyNFIANWG-pLQvtQG67DmLdOL0QCLcBGAsYHQ/s640/Mkuu%2Bwa%2BMkoa%2Bwa%2BKatavi%2BKomredi%2BJuma%2BHomera.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Khwwrmg0JgI/Xl_YNv-NIVI/AAAAAAAEF_0/nVRxOSJ2YmwE0Iod9_tqPZCW6-bpl5iBwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-02-24-16h34m22s344.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9ytzTjttpFU/Xl_YN4TpqZI/AAAAAAAEF_4/hZqvr7CYMfgHIe0g8l66a3cfQqVWMqY4QCLcBGAsYHQ/s640/zao%2Bla%2Bpamba%2Bambalo%2Blinaonekana%2Bkukubali%2Bkatika%2Bardhi%2Bya%2Bkatavi%2Bna%2Blinalotarajia%2Bmwaka%2Bhuu%2B%2Bkuchakatwa%2BMkoani%2BKatavi.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NnbluUFVLBw/Xl_YMELVymI/AAAAAAAEF_o/GFqwspDQyJkpPhCp-zKkX5hh8SbpRRN9ACLcBGAsYHQ/s640/ZAO%2BLA%2BPAMBA.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YiDq1v1-dy8/Xl_YOdOVNkI/AAAAAAAEF_8/tYpe7i8jDcA1TZ3vQGIxXOWppEWH3-67wCLcBGAsYHQ/s640/zao%2Bla%2Bufuta%2Bambalo%2Bni%2Bmoja%2Bwapo%2Bya%2Bzao%2Blililoingia%2Bkatika%2Bmfumo%2Bwa%2Bstakabadhi%2Bghalani.png)
Na. Josephine mallango
Mkoa wa Katavi kuleta mapinduzi ya kilimo kwa mazao ya kibiashara nchini ...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe
WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Mbinu sita za kukifanya kilimo kiwe na tija, kiwavutie Watanzania wengi
Kwa muda mrefu sekta ya kilimo imekuwa ikizungumziwa kuwa ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, kwa kuwa ndiyo imeajiri asilimia 80 ya wananchi wote.
5 years ago
MichuziKITUO CHA UTAFITI WA KILIMO-SAT WATOA MBINU YA KUKABILIANA NA VIWAVIJESHI KWA KUTUMIA MIMEA
Meneja wa Kituo cha Utafiti wa kilimo ambacho kinamilikiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) Frank Marwa akielezea hatua nne za ukuaji wa viwavijeshi ambaye ni moja ya wadudu waharibifu wa mazao shambani.
Frank Marwa ambaye ni Meneja wa Kituo cha utafiti wa kilimo akiwa ameshika jani la mpapai ambalo nalo hutumika kuua wadudu wa haribifu wa...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Wakulima walalamikia Lumbesa, Makokoro
Wakulima wa vijiji vya Ibingu na Kisongwe, Kata ya Lumbiji wilayani hapa wamelalamikia kukithiri kwa vitendo vya wafanyabiashara kununua mazao kwa kutumia vipimo visivyokubalika kisheria.
10 years ago
Mwananchi20 Jan
RC Njombe aonya viongozi kuhusu lumbesa
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi amewataka viongozi mkoani hapa na Iringa kuacha tabia ya kudai nyongeza wanaponunua mazao ya wakulima kwa sababu hiyo ni lumbesa.
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
UN yatetea juhudi za kuangamiza Ebola
Mratibu wa Umoja wa mataifa kuhusu ugonjwa wa ebola Davis Nabarro ametetea juhudi za kimataifa za kupambana na ugonjwa huo.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Liberia yakaribia kuangamiza Ebola
Liberia ambayo iliathiriwa vibaya na ugonjwa wa Ebola inasema kwa sasa ina visa vitano tu vilivyothibitishwa vya ugonjwa huo.
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Vita vipya kuangamiza ufisadi Kenya
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua mpango mpya wa kupambana na ufisadi katika nchi ambayo ufisadi ni jinamizi kubwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania