Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lumbesa: Mbinu za kibiashara zinazotishia kuangamiza kilimo

Kwa miaka mingi, mikoa ya Njombe na Iringa ambayo awali ulikuwa mkoa mmoja ina sifa moja inayofanana na inayoweza kuitambulisha kirahisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKOA WA KATAVI KULETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KILIMO KWA MAZAO YA KIBIASHARA NCHINI

 Miche ya zao la korosho ambayo imeonekana kustawi vizuri ambapo kwa kuanza mkoa wamezalisha miche laki sita  na kusambaza kataika maenza mkoa wa Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Komredi Juma Homera 
Zao la pamba ambalo linaonekana kukubali katika ardhi ya katavi na linalotarajia mwaka huu  kuchakatwa Mkoani Katavi
zao la ufuta ambalo ni moja wapo ya zao lililoingia katika mfumo wa stakabadhi ghalani

Na. Josephine mallango 
Mkoa wa Katavi kuleta mapinduzi ya kilimo kwa mazao ya kibiashara nchini ...

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe

WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu sita za kukifanya kilimo kiwe na tija, kiwavutie Watanzania wengi

Kwa muda mrefu sekta ya kilimo imekuwa ikizungumziwa kuwa ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, kwa kuwa ndiyo imeajiri asilimia 80 ya wananchi wote.

 

5 years ago

Michuzi

KITUO CHA UTAFITI WA KILIMO-SAT WATOA MBINU YA KUKABILIANA NA VIWAVIJESHI KWA KUTUMIA MIMEA

Mwandishi Mussa Juma akiwa ameshika jani na kunusa harufu yake, Jani hilo nalo hutumika kuua wadudu wanaoharibu mimea ya mazao shambani

Meneja wa Kituo cha Utafiti wa kilimo ambacho kinamilikiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) Frank Marwa akielezea hatua nne za ukuaji wa viwavijeshi ambaye ni moja ya wadudu waharibifu wa mazao shambani.
Frank Marwa ambaye ni Meneja wa Kituo cha utafiti wa kilimo akiwa ameshika jani la mpapai ambalo nalo hutumika kuua wadudu wa haribifu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima walalamikia Lumbesa, Makokoro

Wakulima wa vijiji vya Ibingu na Kisongwe, Kata ya Lumbiji wilayani hapa wamelalamikia kukithiri kwa vitendo vya wafanyabiashara kununua mazao kwa kutumia vipimo visivyokubalika kisheria.

 

10 years ago

Mwananchi

RC Njombe aonya viongozi kuhusu lumbesa

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi amewataka viongozi mkoani hapa na Iringa kuacha tabia ya kudai nyongeza wanaponunua mazao ya wakulima kwa sababu hiyo ni lumbesa.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yatetea juhudi za kuangamiza Ebola

Mratibu wa Umoja wa mataifa kuhusu ugonjwa wa ebola Davis Nabarro ametetea juhudi za kimataifa za kupambana na ugonjwa huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia yakaribia kuangamiza Ebola

Liberia ambayo iliathiriwa vibaya na ugonjwa wa Ebola inasema kwa sasa ina visa vitano tu vilivyothibitishwa vya ugonjwa huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vipya kuangamiza ufisadi Kenya

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua mpango mpya wa kupambana na ufisadi katika nchi ambayo ufisadi ni jinamizi kubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani