RC Njombe aonya viongozi kuhusu lumbesa
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi amewataka viongozi mkoani hapa na Iringa kuacha tabia ya kudai nyongeza wanaponunua mazao ya wakulima kwa sababu hiyo ni lumbesa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Feb
Pinda aonya viongozi wa CCM
AKIWA katika siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano mkoani Iringa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameonya viongozi na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuchagulia wananchi viongozi.
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Pengo aonya kuhusu urais
10 years ago
BBCSwahili17 May
Nkurunziza aonya kuhusu Al Shaabab
11 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mshauri wa WHO aonya kuhusu Ebola
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Baregu aonya kuhusu Bunge Maalumu
5 years ago
Michuzi
IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA

Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU CORONA
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
5 years ago
CCM Blog
WAZIRI MKUU AONYA WAPOTOSHAJI KUHUSU CORONA

Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...