Mshauri wa WHO aonya kuhusu Ebola
Mshauru mashuhuri wa WHO ameonya kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola vinatarajiwa miongoni mwa maafisa wa afya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 May
Nkurunziza aonya kuhusu Al Shaabab
Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amejitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la mapinduzi na kuonya kuwa kuna tishio la shambulizi la Al shabaab
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Pengo aonya kuhusu urais
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, ambaye alizua kizaazaa bada ya kutofautiana na maaskofu wenzake kuhusu Kura ya Maoni, jana alizungumzia suala la urais, akivitaka vyama vya siasa kuwaengua makada wake wanaotumia fedha kusaka urais.
10 years ago
Mwananchi20 Jan
RC Njombe aonya viongozi kuhusu lumbesa
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi amewataka viongozi mkoani hapa na Iringa kuacha tabia ya kudai nyongeza wanaponunua mazao ya wakulima kwa sababu hiyo ni lumbesa.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Baregu aonya kuhusu Bunge Maalumu
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu amesema, Bunge maalumu lijao la Katiba linaweza kugeuka kituko iwapo wajumbe wake wataweka mbele masilahi ya vyama vya kisiasa na kuacha misingi ya kujenga taifa moja na lenye mshikamano.
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU CORONA
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Katibu mkuu wa UN aonya kuhusu ghasia-CAR
Ban Ki-Moon aonya kuwa ghasia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaweza kuligawa taifa hilo kwa misingi ya kidini
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Papa Francis aonya kuhusu ongezeko la joto
Papa Francis amesema ni jambo la aibu kama viongozi wa dunia hawatafikia muafaka juu ya namna ya kupambana ongezeko la joto duniani.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FIRtwEBUFz0/XnX_zfQOS7I/AAAAAAAC1Zs/CSJUOMGclvY_CNHpPUEjSiy60E-vwQy6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA WAPOTOSHAJI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FIRtwEBUFz0/XnX_zfQOS7I/AAAAAAAC1Zs/CSJUOMGclvY_CNHpPUEjSiy60E-vwQy6gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania