Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda aonya viongozi wa CCM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.AKIWA katika siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano mkoani Iringa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameonya viongozi na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuchagulia wananchi viongozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MANGULA AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM SHINYANGA...AONYA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2020

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Philip Mangula amewaonya wagombea wa viti vya udiwani na ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuwa wale ambao wataanza kampeni mapema kabla ya muda muafaka pamoja na kutoa zawadi mbalimbali watakatwa majina yao. Mangula amebainisha hayo leo Februari 16,2020 kwenye ukumbi wa CCM mkoa wa Shinyanga wakati akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu, na kamati za siasa za Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Shinyanga. Amesema Chama...

 

9 years ago

Mwananchi

Pinda aonya wanaoilinganisha Rwanda na Tanzania

Waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) amewaonya Watanzania wanaobeza juhudi za kuleta maendeleo zilizofanywa na Serikali tangu wakati wa uhuru.

 

11 years ago

Mtanzania

Pinda aonya matumizi ya rushwa uchaguzi mkuu

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Mwandishi Wetu

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2015.

Waziri Mkuu Pinda ametoa onyo hilo jana alipokuwa akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza...

 

10 years ago

Mwananchi

RC Njombe aonya viongozi kuhusu lumbesa

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi amewataka viongozi mkoani hapa na Iringa kuacha tabia ya kudai nyongeza wanaponunua mazao ya wakulima kwa sababu hiyo ni lumbesa.

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA


Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti wa CCM aonya kutegemea matajiri

Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete amesema kitendo cha kutumia matajiri kama vyanzo vya mapato, kunadhalilisha chama hicho na haiwezi kuendelea kuvumiliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Makongoro aonya visasi, ununuzi wa vikao vya maamuzi CCM

Makongoro Nyerere.MGOMBEA nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, Makongoro Nyerere, amekitaka chama chake kuwatowaonea aibu wagombea wote waliokiuka kanuni za kuwania nafasi ya urais pamoja na wenye tuhuma za ufisadi na kuwaengua katika mchakato wa kugombea urais.

 

10 years ago

Dewji Blog

PINDA azungumza na viongozi wa dini

PG4A9911

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha viongozi wa dini cha mashauriano kilichofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha  Julius Nyerere jijini Dar es salaam Februari 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A9915

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha  mashauriano cha viongozi wa dini kilichofanyika kwenye Kituo cha  Mikutano cha Kimataifafa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Februari 3, 2015. Kulia ni ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam ,Alhad...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na viongozi wa Lions Club

PG4A0004

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivalishwa Medali ya Juu ya Uongozi ya Club ya Lions na Gavana wa Lions Clubs International wa Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo  wakati alipokutana na ujumbe wa Club hiyo kwenye makazi yake mjini Dodoma Mai 22, 2014.Kushoto ni M. Bakary na wapili kushoto ni LION dr. Hussein Hassan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9984

PG4A9989

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwashukuru  viongozi wa  Club ya Lions  Clubs International baada ya kutunkiwa  Medali ya juu ya Uongozi ya Club...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani