Pinda akutana na viongozi wa Lions Club
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivalishwa Medali ya Juu ya Uongozi ya Club ya Lions na Gavana wa Lions Clubs International wa Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo wakati alipokutana na ujumbe wa Club hiyo kwenye makazi yake mjini Dodoma Mai 22, 2014.Kushoto ni M. Bakary na wapili kushoto ni LION dr. Hussein Hassan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwashukuru viongozi wa Club ya Lions Clubs International baada ya kutunkiwa Medali ya juu ya Uongozi ya Club...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA LIONS CLUBS
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivalishwa Medali ya Juu ya Uongozi ya Club ya Lions na Gavana wa Lions Clubs International wa Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo wakati alipokutana na ujumbe wa Club hiyo kwenye makazi yake mjini Dodoma Mai 22, 2014.Kushoto ni M. Bakary na wapili kushoto ni LION dr. Hussein Hassan.
10 years ago
Dewji Blog09 May
Pinda afungua kongamano la Lions Club
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wakati alipofungua kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam Me 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club wakimsikiliza Wairi Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kongamano hilo kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2tmd1l9org4/VU6tY0H52AI/AAAAAAAHWeU/PneNG5q5Tmk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA LIONS CLUB
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tmd1l9org4/VU6tY0H52AI/AAAAAAAHWeU/PneNG5q5Tmk/s640/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WgImQ2ffEQg/VU6tYwJlHMI/AAAAAAAHWeQ/p0biXt7R2aM/s640/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s640/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA LIONS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s640/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBOVv9T6VTE/VU6taFReySI/AAAAAAAHWew/hKbZ08cq_og/s640/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upQ8q7tB5U4/VU6tdehUttI/AAAAAAAHWfM/NYguzpbp7Qc/s640/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Pinda akutana na viongozi wa benki ya BADEA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Benki ya Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) baada ya kukutana nao kwenye Ofisini kwake jijini Dar es salaam Januari 16, 2015.Kutoka kushoto ni Abdulrahman Bin Saleh Al-Otaishan na Abdelaziz Khelef.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri wa Fedha Saada Mkuya (kushoto) akiteta na Kiongozi wa Benki ya Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) , Abdulrahm Hassan Naq baada ya mazungumzo kati ya Waziri Mkuu,...
10 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA BENKI YA BADEA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TBLpmmPD9AY/VUD6BESQ4eI/AAAAAAAHUG8/oIPqze5NHm8/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA BRITISH AMERICAN TOBACCO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TBLpmmPD9AY/VUD6BESQ4eI/AAAAAAAHUG8/oIPqze5NHm8/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-592uHvTIlyI/VUD6B39I-KI/AAAAAAAHUHA/me-g7R2yH1w/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
11 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA MAKAMPUNI YA SOMITO NA CITI BANK
![](http://2.bp.blogspot.com/-ujFqJ7_rRgY/U8-vyGdlJhI/AAAAAAAF5LU/uEI_Yqzu0Zs/s1600/unnamed+(63).jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jul
Pinda akutana na viongozi wa makampuni ya Somito na Citi Bank
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Citi Bank ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 23, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Uchukuzi , Dr. Harrison Mwakyembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).