Makongoro aonya visasi, ununuzi wa vikao vya maamuzi CCM
MGOMBEA nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, Makongoro Nyerere, amekitaka chama chake kuwatowaonea aibu wagombea wote waliokiuka kanuni za kuwania nafasi ya urais pamoja na wenye tuhuma za ufisadi na kuwaengua katika mchakato wa kugombea urais.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_69WFUiNhVk/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MOpK-HSwGjs/VZ-A8JMll4I/AAAAAAAHodo/EA399rvQhnM/s72-c/PR-Release.png)
10 years ago
Habarileo22 May
Vikao vizito vya CCM kuanza leo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimejigamba kitatoka katika vikao vyake muhimu vya Kamati Kuu (CCM) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyoanza mjini hapa leo kikiwa imara kuliko hapo awali.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZuGI_DUyGPE/VYrqckc8PZI/AAAAAAAHjnA/k2QT5f1q1sM/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
CCM ZANZIBAR YALAANI CUF KUSUSIA VIKAO VYA BARAZA
Na Mwashungi Tahir na Rahma Khamis-Maelezo Zanzibar Chama cha Mapinduzi CCM kimelaani kitendo kilichofanywa na Wajumbe wa Baraza la wawakilishi kupitia chama cha Wananchi (CUF) kutoka ndani ya kikao halali cha Baraza la Wawakilishi wakati wa mjadala wa kupitisha Mswaada wa sheria wa matumizi ya fedha za serikali kwa mwaka 2015/2016 ukiwa bado unaendelea. Akizungumza na Waandishi wa habari Ofisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema kitendo kilichofanywa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Za8s5sYvAK6umvngj7rJ40MJsoFTKcnmLPeeSt0digWTKxiRAH8L863Q7VSnAW-pN3HXwKnYoTi7kH2py0RecOL9RPphuTz/NAPE.jpg?width=650)
VIKAO VYOTE VYA CCM KUANZA LEO SAA 4 ASUBUHI - NAPE NNAUYE
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa White House, Mjini Dodoma leo Julai 10, 2015. KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/lJRcsLXbmoY/default.jpg)
Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye, akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo asubuhi Julai 10, 2015.
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.
Nape amesema vikao vyote...
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.
Nape amesema vikao vyote...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-OseliymIZjA/VZ0PX4hkRkI/AAAAAAAAgsw/wJIOwB1LFGM/s640/1.jpg)
RAIS KIKWETE ALIVYOWASILI DODOMA KUONGOZA VIKAO VYA CCM NA KULIHUTUBIA BUNGE
 Ndege iliyombeba Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikitua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma jana.  Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteremka kwenye uwanja cha ndege Dodoma tayari kwa kuongoza kikao cha Kamati ya Maadili na Usalama ya Chama jana.  Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa… ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tVfx5wcZR-c/VD6C1tNI-eI/AAAAAAAGqoo/iULuV_qJybU/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Rais Kikwete awasili mjini Dodoma tayari kwa kuongoza Vikao vya CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-tVfx5wcZR-c/VD6C1tNI-eI/AAAAAAAGqoo/iULuV_qJybU/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4u_cnFKnHWQ/VD6C1gxIXgI/AAAAAAAGqow/qNJUxL0RNMU/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania