Umuhimu wa maji katika mwili
Maji huunda zaidi ya theluthi mbili ya miili yetu, lakini wengi wetu huacha kunywa maji na kunywa vinywaji vingine tukisahau kunywa maji ya kutosha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Umuhimu wa kuchemsha maji-1
Wengi tunakunywa maji katika maisha yetu kila siku. Lakini, swali la kujiuliza ni je, tunachemsha maji hayo kabla ya kuyanywa?
10 years ago
GPLMUWSA YASAMBAZA BOMBA LA MAJI KATIKA MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA ,Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwaonyesha wanahabari chanzo cha maji kilichopo Mto Karanga .…
9 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI KATIKA MJI WA GEITA
Naibu waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita
Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya...
10 years ago
MichuziMICHEZO YA MAJESHI YA FUNGULIWA RASMI LEO KATIKA UWANJA WA MAJI MAJI SONGEA MKOANI RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vD-1xuWTxHY/VWRBh6b6mmI/AAAAAAAAH58/nxKrCtL2HdU/s640/20150526_093914.jpg)
Na Amon Mtega ,SONGEA
MICHEZO ya majeshi inayoshirikisha vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama briged ya kanda ya kusini imefunguliwa rasmi na kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Songea ,Pr...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa
Mwalimu J. K. Nyerere ametuasa tusiwe wabinafsi katika masuala yahusuyo taifa. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila uchoyo na husuda.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Umuhimu wa sarufi katika lugha (2)
Kwa hiyo wadau na wapenzi wa lugha hii wanatakiwa kupata picha ya kazi kubwa iliyofanywa na wageni na hasa wamisionari wa kizungu waliamua kuandika vitabu na vijitabu kwa lengo la kuwahamasisha wadau na wapenzi wa Kiswahili wajifunze misingi ya lugha hii. Mbali na wadau na wapenzi wa Kiswahili, viongozi wetu wa chama na serikali wanapaswa kutambua juhudi hizi na wakithamini kwa kutumia Kiswahili fasaha katika shughuli zao za kila siku. Hii inawezekana kama kutakuwa na utashi wa dhati...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Umuhimu wa sarufi katika lugha
Katika utangulizi wa makala yangu niliyoandika siku za nyuma, nilinukuu aya chache kutoka katika kijitabu alichoandika Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi kuhusu misingi ya lugha ya Kiswahili na pia makosa yanayojitokeza wakati wa kuandika taarifa au habari rasmi. Nilimnukuu wakati aliposisitiza kuwa ni muhimu kuzingatia sarufi na upatanishi wake kwa maana ya kutumia ngeli zake kwa uangalifu.
Â
9 years ago
Michuzi26 Aug
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA KATIKA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/546-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/639-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/280.jpg)
11 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania