Umuhimu wa sarufi katika lugha (2)
Kwa hiyo wadau na wapenzi wa lugha hii wanatakiwa kupata picha ya kazi kubwa iliyofanywa na wageni na hasa wamisionari wa kizungu waliamua kuandika vitabu na vijitabu kwa lengo la kuwahamasisha wadau na wapenzi wa Kiswahili wajifunze misingi ya lugha hii. Mbali na wadau na wapenzi wa Kiswahili, viongozi wetu wa chama na serikali wanapaswa kutambua juhudi hizi na wakithamini kwa kutumia Kiswahili fasaha katika shughuli zao za kila siku. Hii inawezekana kama kutakuwa na utashi wa dhati...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Umuhimu wa sarufi katika lugha
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Umuhiu wa sarufi katika lugha
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Jiendeleze katika lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Athari ya lugha za asili katika Kiswahili
10 years ago
Mwananchi19 May
Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Umuhimu wa maji katika mwili
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa Letu (1)
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Umuhimu wa elimu maalumu katika jamii