Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa Letu (1)
 Mwalimu J. K. Nyerere amewahi kutuasa ili tuepukane na  ubinafsi katika masuala yahusuyo taifa letu. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila kuwa na uchoyo wala husuda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Michezo ni sekta muhimu katika uhai wa Taifa letu
10 years ago
Michuzi10 Dec
FID-Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAIFA LETU.
Fid Q amesukumwa kuzungumza na waandishi wa habari baada ya ...
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Umuhimu wa Kiswahili Afrika Mashariki
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Umuhimu wa kuunganisha Kiswahili Afrika Mashariki
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pFiylrrOYco/VKmLkZ3DyOI/AAAAAAAAEYM/Ih8nr9eo8GA/s72-c/MKCT_P2015.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Masilahi ya Taifa letu ni yepi?
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Ajira zaangamiza taifa letu
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Taifa letu, fahari yetu
Na Waandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.
Akizungumza katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.
Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.
Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...