Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa Letu (1)

 Mwalimu J. K. Nyerere amewahi kutuasa ili tuepukane na  ubinafsi katika masuala yahusuyo taifa letu. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila kuwa na uchoyo wala husuda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa

Mwalimu J. K. Nyerere ametuasa tusiwe wabinafsi katika masuala yahusuyo taifa. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila uchoyo na husuda.

 

10 years ago

Mwananchi

Michezo ni sekta muhimu katika uhai wa Taifa letu

Yapo matatizo mengi ambayo yanazuia kasi ya maendeleo ya michezo nchini, ila wahusika wamekuwa wakiyafumbia macho na kuona kama ni masuala ya kawaida.

 

10 years ago

Michuzi

FID-Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAIFA LETU.

Msanii nguli wa miondoko ya Hip-hop Fareed Kubanda – Fid Q amekutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sports Lounge katikakati ya jiji la Dar es Salaam, kujadili maswala ya msingi yenye mustakabali chanya kwa maendelo ya taifa hili. Ameitisha mkutano huu akiwa kama kijana na mwenye nafasi na ushawishi kwa vijana wenzie katika ushiriki wa kuleta mabadiliko chanya na maendeleo ya nchi yetu.
Fid Q amesukumwa kuzungumza na waandishi wa habari baada ya ...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Kiswahili Afrika Mashariki

Katika makala iliyotangulia nilieleza juu ya juhudi za nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zilivyojitahidi kuendeleza lugha ya Kiswahili, ili iwe na taswira ya utangamano kwa wananchi wa nchi hizi.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa kuunganisha Kiswahili Afrika Mashariki

Katika taarifa ya utafiti uliochapishwa hivi karibuni imeelezwa kuwa Watanzania wengi wanataka kuunganishwa katika shughuli mbalimbali za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Masilahi ya Taifa letu ni yepi?

Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajira zaangamiza taifa letu

Mara nyingi watu wa kada mbalimbali wamezungumzia tatizo la ajira nchini, lakini baadhi ya viongozi wa Serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

10 years ago

Mtanzania

Taifa letu, fahari yetu

Kikwete na SheinNa Waandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.

Akizungumza katika sherehe  zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.

Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.

Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani