Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJUMBE KWA TAIFA LETU


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Tuanze 2014 kwa kutafakari mwelekeo wa Taifa letu

Mwaka 2013 ulimalizika jana tukishuhudia mambo mengi hasa katika ulingo wa siasa. Nimejaribu kueleza baadhi ya mambo yaliyotokea katika makala zangu zilizopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa taifa letu-1

Mitandao ya kijamii ni programu inayotumia Intaneti kuwezesha watu mbalimbali kuwasiliana,  kushiriki mijadala na kuweka taarifa au kubadilishana vitu mbalimbali .

 

10 years ago

Mwananchi

Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa Taifa letu-3

Leo nahitimisha mfululizo wa makala haya. Licha ya mitandao ya kijamii kuweza kutumika dhidi ya usalama wa Taifa, pia inaweza kulinda usalama wake na wananchi tena kwa ufasaha zaidi.

 

11 years ago

GPL

IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU

Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapunda awakaribisha Watanzania katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar kuonyesha matumaini yao kwa Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI

Ni wazi kwamba ningependa siku moja watanzania waweze kujua ukweli wa nini kinafanywa na matajiri wa nchi hii.Matajiri waliojaa  ulafi wa kunufaika na rasilimali za nchi hii kwa manufaa yao na familia zao ukijumlisha wapambe wao na washirika wa ndani na nje ya nchi hii ya Tanzania. Ni katika vita hii ndio inayopelekea serekali yetu kuyumba na kuyumbishwa (STATE TO BE CAPTURED) na hawa matajiri pale wanapopigania maslahi yao na kudiriki kutumia utajiri wao na umiliki wao wa vyombo kama vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Masilahi ya Taifa letu ni yepi?

Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.

 

10 years ago

Mtanzania

Taifa letu, fahari yetu

Kikwete na SheinNa Waandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.

Akizungumza katika sherehe  zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.

Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.

Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajira zaangamiza taifa letu

Mara nyingi watu wa kada mbalimbali wamezungumzia tatizo la ajira nchini, lakini baadhi ya viongozi wa Serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani