Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajira zaangamiza taifa letu

Mara nyingi watu wa kada mbalimbali wamezungumzia tatizo la ajira nchini, lakini baadhi ya viongozi wa Serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Taifa letu, fahari yetu

Kikwete na SheinNa Waandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.

Akizungumza katika sherehe  zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.

Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.

Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Masilahi ya Taifa letu ni yepi?

Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa Letu (1)

 Mwalimu J. K. Nyerere amewahi kutuasa ili tuepukane na  ubinafsi katika masuala yahusuyo taifa letu. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila kuwa na uchoyo wala husuda.

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha taifa letu ni hiki hapa

Kuongozwa kwa fedha badala ya fikra, tumepotea njia salama, tupo gizani Kilio cha taifa letu ni uongozi! Ili tupige hatua kutoka hapa tulipo sasa, tunahitaji kiongozi bora, mzalendo na anayeishi maisha ya Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Michezo ni sekta muhimu katika uhai wa Taifa letu

Yapo matatizo mengi ambayo yanazuia kasi ya maendeleo ya michezo nchini, ila wahusika wamekuwa wakiyafumbia macho na kuona kama ni masuala ya kawaida.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuanze 2014 kwa kutafakari mwelekeo wa Taifa letu

Mwaka 2013 ulimalizika jana tukishuhudia mambo mengi hasa katika ulingo wa siasa. Nimejaribu kueleza baadhi ya mambo yaliyotokea katika makala zangu zilizopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Mitandao ya kijamii na changamoto kwa usalama wa Taifa letu-3

Leo nahitimisha mfululizo wa makala haya. Licha ya mitandao ya kijamii kuweza kutumika dhidi ya usalama wa Taifa, pia inaweza kulinda usalama wake na wananchi tena kwa ufasaha zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani