Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa

Mwalimu J. K. Nyerere ametuasa tusiwe wabinafsi katika masuala yahusuyo taifa. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila uchoyo na husuda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa Letu (1)

 Mwalimu J. K. Nyerere amewahi kutuasa ili tuepukane na  ubinafsi katika masuala yahusuyo taifa letu. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila kuwa na uchoyo wala husuda.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Kiswahili Afrika Mashariki

Katika makala iliyotangulia nilieleza juu ya juhudi za nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zilivyojitahidi kuendeleza lugha ya Kiswahili, ili iwe na taswira ya utangamano kwa wananchi wa nchi hizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa kuunganisha Kiswahili Afrika Mashariki

Katika taarifa ya utafiti uliochapishwa hivi karibuni imeelezwa kuwa Watanzania wengi wanataka kuunganishwa katika shughuli mbalimbali za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

10 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Umuhimu wa wafanyabiashara wadogo kwa Taifa

Sera ya taifa ya wafanyabiashara wadogo na wa kati inatambua umuhimu wao katika maendeleo ya nchi. Ni kutokana na umuhimu wao ndiyo maana Serikali iliamua kutunga sera itakayoongoza shughuli za utendaji kazi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa sarufi katika lugha

Katika utangulizi wa makala  yangu niliyoandika siku za nyuma,  nilinukuu  aya chache kutoka katika kijitabu  alichoandika Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi kuhusu misingi ya lugha ya Kiswahili na pia makosa yanayojitokeza wakati wa kuandika taarifa au habari rasmi.  Nilimnukuu wakati aliposisitiza  kuwa ni muhimu kuzingatia sarufi na upatanishi wake kwa  maana ya kutumia ngeli zake kwa uangalifu.  

 

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa sarufi katika lugha (2)

Kwa hiyo wadau na wapenzi wa lugha hii wanatakiwa kupata picha ya kazi kubwa iliyofanywa na wageni na hasa wamisionari wa kizungu waliamua kuandika vitabu na vijitabu kwa lengo la kuwahamasisha wadau na wapenzi wa Kiswahili wajifunze misingi ya lugha hii.  Mbali na wadau na wapenzi wa Kiswahili, viongozi wetu wa chama na serikali wanapaswa kutambua juhudi hizi na wakithamini kwa kutumia Kiswahili fasaha katika  shughuli zao za kila siku. Hii inawezekana kama kutakuwa na utashi wa dhati...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa maji katika mwili

Maji huunda zaidi ya theluthi mbili ya miili yetu, lakini wengi wetu huacha kunywa maji na kunywa vinywaji vingine tukisahau kunywa maji ya kutosha.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa elimu maalumu katika jamii

Elimu maalumu hutolewa kwa watoto wenye ulemavu wa aina mbalimbali hadi kufikia umri wa miaka 21.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani