Umuhiu wa sarufi katika lugha
Katika utangulizi wa makala yangu yaliyopita, nilinukuu aya chache kutoka katika kijitabu alichoandika Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuhusu misingi ya lugha ya Kiswahili na pia makosa yanayojitokeza wakati wa kuandika taarifa au habari rasmi. Nilimnukuu wakati aliposisitiza kuwa ni muhimu kuzingatia sarufi na upatanishi wake kwa maana ya kutumia ngeli zake kwa uangalifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Umuhimu wa sarufi katika lugha (2)
Kwa hiyo wadau na wapenzi wa lugha hii wanatakiwa kupata picha ya kazi kubwa iliyofanywa na wageni na hasa wamisionari wa kizungu waliamua kuandika vitabu na vijitabu kwa lengo la kuwahamasisha wadau na wapenzi wa Kiswahili wajifunze misingi ya lugha hii. Mbali na wadau na wapenzi wa Kiswahili, viongozi wetu wa chama na serikali wanapaswa kutambua juhudi hizi na wakithamini kwa kutumia Kiswahili fasaha katika shughuli zao za kila siku. Hii inawezekana kama kutakuwa na utashi wa dhati...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Umuhimu wa sarufi katika lugha
Katika utangulizi wa makala yangu niliyoandika siku za nyuma, nilinukuu aya chache kutoka katika kijitabu alichoandika Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi kuhusu misingi ya lugha ya Kiswahili na pia makosa yanayojitokeza wakati wa kuandika taarifa au habari rasmi. Nilimnukuu wakati aliposisitiza kuwa ni muhimu kuzingatia sarufi na upatanishi wake kwa maana ya kutumia ngeli zake kwa uangalifu.
Â
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Jiendeleze katika lugha ya Kiswahili
Watu makini katika lugha ya Kiswahili waliwahi kusema kuwa njia pekee za kukieneza na kukiimarisha Kiswahili ni kuandaa maandishi ambayo yatasomwa na watu wengi kwa kuzingatia msemo usemao, “Watu hupenda kusikia lakini zaidi sana hutaka kuonaâ€. Kwa hiyo kwa kupitia njia ya uandishi itawezesha kusaidia habari kusomwa na kuenea sehemu kubwa ya nchi na watu wengi wakasoma maandishi hayo.
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Athari ya lugha za asili katika Kiswahili
Niliwahi kueleza katika makala zangu za hapo awali na kusisitiza kuwa bado wako waandishi wengi wanaoendelea kufanya makosa ya hapa na pale bila kuzingatia ufasaha na usanifu wa lugha ya Kiswahili. Nilitilia mkazo katika uandishi hasa kwa upande wa sintaksia, mofolojia na semantiki katika Kiswahili. Niliwasihi waandishi wawe makini wanapoandika makala na taarifa  za matukio mbalimbali. Watumie lugha sanifu na iliyo fasaha ili wasomaji wapate habari zilizo sahihi na za ukweli....
10 years ago
Mwananchi19 May
Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili
>KABLA kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha.
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali na hasa nyimbo, misemo, nahau na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
WIZARA YA KAZI ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA (ILO) YAZINDUA KITABU CHA SHERIA ZA KAZI KATIKA LUGHA NYEPESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkRn0ALDvrg/VJJ9HIKGluI/AAAAAAAG4Cw/Sog9_ncjZLw/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania