Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji ujasiri si msaada

TUMESHTUSHWA na taarifa zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuwa kuna mtandao mkubwa wa majangili wanaoendesha biashara haramu ya pembe za ndovu. Kauli hii ni ya kushtusha kwa kuwa serikali haipaswi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Viongozi Afrika hawana ujasiri-Mkapa

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa amesema hivi sasa hakuna viongozi wa Afrika wenye ujasiri na uthubutu kama walivyokuwa viongozi waasisi waliopigania uhuru wa nchi za Afrika na kukataa utawala wa kikoloni.

 

9 years ago

Raia Mwema

Deo Filikunjombe: Utiifu, Uzalendo na Ujasiri

"Naambiwa hukai jimboni, unazunguka majimbo mengine. Nataka ushinde tuendeleze kazi ya PAC".

Zitto Kabwe

 

10 years ago

Mwananchi

Kibagha, mila ‘inayomjengea’ mwanamume ujasiri

Katika taifa lenye zaidi ya makabila 120, si ajabu kuona mila  tofauti nyingine zikiwa na mambo yanayoshangaza.

 

10 years ago

Mwananchi

Unafahamu jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?

Ukikutana na mtu akakuuliza; baada ya kumcha Mungu ni jambo gani jingine muhimu unafikiri binadamu anapaswa kulifanya katika maisha yake? Hapana shaka hutaweza kutoa jibu mara moja kwa sababu utajikuta ukifikiria mambo kadhaa, wala hutaweza mara moja kutambua lipi ni muhimu kuliko yote.

 

11 years ago

Mwananchi

unatambua jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?

Ukikutana na mtu akakuuliza; baada ya kumcha Mungu ni jambo gani jingine muhimu unafikiri binadamu anapaswa kulifanya katika maisha yake? Hapana shaka hutaweza kutoa jibu mara moja kwa sababu utajikuta ukifikiria mambo kadhaa, wala hutaweza mara moja kutambua lipi ni muhimu kuliko yote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nenda Mzee Saria, umeniachia ujasiri

NI Jumatatu nyingine wadau wa Uwanja wa Kuchonga, tunakutana tena kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni lile lile kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu...

 

11 years ago

Mwananchi

Vita ya ujangili inahitaji ujasiri si bunduki na magari tu

Sina budi kumpongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kwa jitihada zake za kukabiliana na ujangili nchini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbinu 15 za kupata ujasiri na kufanikiwa katika maisha

Success

1.Kutoshindana na waliofanikiwa.

Daima mtu ahakikishe anawafanya waliofanikiwa wajione wapo juu. Kama mtu anataka kuwashangaza basi asionyeshe ujuzi wake wote.

Kuwapa waliofanikiwa heshima yao kutamfanya mtu apate msaada na hatimaye afikie kiwango cha juu bila ya kupata tabu nyingi.

Mfano, mtu asishindane na mwajiri wake ili kuonekana anajua sana; asishindane na tajiri katika matumizi hususani mazingira ya kijamii kama baa, misiba n.k. Waliofanikiwa hutafsiri kitendo cha kushindana kama...

 

10 years ago

GPL

HIVI UJASIRI WA KUMTUPA MZAZI WAKO UNAUPATA WAPI?-2

Ni matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu kwa kunifanya niwe hivi nilivyo leo. Pia niwashukuru wazazi wangu ambao siku zote wamekuwa pamoja na mimi. Wamenivumila kwa mengi licha ya wakati mwingine kuwakosea, wamekuwa wepesi kunisamehe na kuendelea kunisimamia kama mtoto wao. Nami naahidi kutowatupa!Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitaimalizia mada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani