Tunahitaji ujasiri si msaada
TUMESHTUSHWA na taarifa zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuwa kuna mtandao mkubwa wa majangili wanaoendesha biashara haramu ya pembe za ndovu. Kauli hii ni ya kushtusha kwa kuwa serikali haipaswi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Jun
Viongozi Afrika hawana ujasiri-Mkapa
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa amesema hivi sasa hakuna viongozi wa Afrika wenye ujasiri na uthubutu kama walivyokuwa viongozi waasisi waliopigania uhuru wa nchi za Afrika na kukataa utawala wa kikoloni.
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Deo Filikunjombe: Utiifu, Uzalendo na Ujasiri
"Naambiwa hukai jimboni, unazunguka majimbo mengine. Nataka ushinde tuendeleze kazi ya PAC".
Zitto Kabwe
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kibagha, mila ‘inayomjengea’ mwanamume ujasiri
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Unafahamu jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?
11 years ago
Mwananchi16 Mar
unatambua jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Nenda Mzee Saria, umeniachia ujasiri
NI Jumatatu nyingine wadau wa Uwanja wa Kuchonga, tunakutana tena kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni lile lile kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Vita ya ujangili inahitaji ujasiri si bunduki na magari tu
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Mbinu 15 za kupata ujasiri na kufanikiwa katika maisha
1.Kutoshindana na waliofanikiwa.
Daima mtu ahakikishe anawafanya waliofanikiwa wajione wapo juu. Kama mtu anataka kuwashangaza basi asionyeshe ujuzi wake wote.
Kuwapa waliofanikiwa heshima yao kutamfanya mtu apate msaada na hatimaye afikie kiwango cha juu bila ya kupata tabu nyingi.
Mfano, mtu asishindane na mwajiri wake ili kuonekana anajua sana; asishindane na tajiri katika matumizi hususani mazingira ya kijamii kama baa, misiba n.k. Waliofanikiwa hutafsiri kitendo cha kushindana kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXVtamGx93W4ckeJTiHmsd60aJGi5Xelifs6ddHjczL1A*YbOA9hcyQ1YnCU79OjB-k7OiBDvIIxKr7GzIH9MFS3/11.jpg?width=650)
HIVI UJASIRI WA KUMTUPA MZAZI WAKO UNAUPATA WAPI?-2