Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je waweza kwenda utupu? nenda Mpenjati

Kwa wale wenye mapenzi ya kubakia utupu watakavyo, wamefunguliwa pwani yao huko Afrika Kusini wajiachie watakavyo,watoto nao ruksa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

UPUNGUFU WA POTASSIUM MWILINI, WAWEZA KUWA TISHIO KWA USALAMA WA MOYO .

NDIZI HUSIFIKA KWA UTAJIRI WAKE WA MADINI YA POTASSIUMPotassium ni moja  kati  ya madini muhimu ya chumvi chumvi mwilini.Ikisaidiana na chumvu chumvi nyingine kama Calcium, Magnesium, Sodium, Potassium ni muhimu sana kwenye usimamiaji wa kiwango sahihi cha maji mwilini, utendaji wa cell na zaidi uanzishaji wa mwendo ( conduction of  electricity) katika  misuli ya mwili yenye mwendo hiari na mwendo usio wa hiari. Hivyo,Pottasium hupelekea mwamko katika mishipa ya moyo inayohusika na...

 

10 years ago

Michuzi

JE WAWEZA KUUZA NYUMBA/KIWANJA ULICHOKOPEA BILA KUMPA TAARIFA ALIYEKUKOPA?.

Na  Bashir  Yakub.Wakati  mwingine  waliokopa  kwa  kutumia  viwanja /nyumba   huwa  na  mahitaji ya  kuviuza.  Wasiwasi  wao mkubwa  huwa  ni kwa  mtoa  mkopo  iwapo akijua  eneo  lililowekwa  dhamana  limeuzwa  . Pia  wanunuzi  wa  maeneo  ambayo  yamewekwa  dhamana  nao  wakati  mwingine  huwa  na wasiwasi  juu kununua  maeneo  kama   hayo.  
Nilwahi  kueleza  namna  ya  kununua  ardhi  iliyowekwa  mkopo japo  sicho  ninachozungumza  leo. Leo naeleza  hadhi  ya  kisheria ( legal  status)  ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA MUDA WA HATI YA NYUMBA UKIISHA WAWEZA KUNYANGANYWA ARDHI?

Na Bashir YakubKwa wale ambao tayari wana hati za majumba au viwanja wanajua wazi kuwa hati hizo zimeandikwa muda maalum, tofauti na wengi wanavyofikiria hasa wale ambao pengine hawajamiliki ardhi au wanamiliki ardhi lakini hawamiliki nyaraka hii.
 Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana. Kama ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano leseni za kuendeshea vipando...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MKATABA WA PANGO, NA WA KUNUNULIA ARDHI WAWEZA KUTUMIKA KUPATIA MKOPO

Na  Bashir  Yakub.
Sheria  ya  ardhi  ni pana   na  ina mambo    mengi.  Kila  nikipata  nafasi  huwa  najitahidi  kueleza  japo machache  ili   watu waweze  kuelewa  masuala  mbalimbali   kuhusu  ardhi.  Ardhi  ni  rasimali  nyeti  mno  na hivyo  ni  tatizo  kubwa   kuishi  bila  kujua mambo  ya msingi  na ya kisheria  kuhusu  ardhi. Kutokujua  ni  moja  ya  sababu inayopelekea  umaskini  wakati  utajiri  upo  mikononi  mwako na  upande  mwingine husababisha migogoro  ya ardhi  inayoongezeka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani