Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NENDA KUAMBIANA, UMETUACHIA DUNIA YA KINYONYAJI

Tasnia ya filamu Tanzania imepata pigo kubwa baada ya kufariki kwa Adam Philip Kuambiana. Huyu ni mmoja kati ya waigizaji wachache waliokuwa na uwezo mkubwa.Kuambiana alikuwa na vipaji vingi. Alikuwa muongozaji mzuri sana wa filamu (Director), mwandishi wa Script, mtunzi na zaidi alikuwa muigizaji. Katika kila idara aliyoifanyia kazi, aliitendea haki vilivyo. Ukitaka kujua kama marehemu Kuambiana alikuwa anajua kuongoza filamu,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA

Adam Kuambiana enzi za uhai wake. MWIGIZAJI Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu. Marehemu ameanguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar. Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbO. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.… ...

 

10 years ago

Michuzi

NENDA SABASABA UJUE UMOJA WA MATAIFA, MIAKA 70 YA KUTETEA USTAWI WA DUNIA

DSC_0598Muonekano wa nje wa Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania lililopo ndani ya Karume Hall wanaoshiriki katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam ya sabasaba yaliyoanza kurindima jana kwenye katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Modewji blog team, SabasabaShirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania wapo katika maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza...

 

10 years ago

Mwananchi

Mshikamano wa madereva umetuachia sisi fundisho gani

Saa nane pekee za siku ya Ijumaa, Aprili 10 mwaka huu zitabaki kwa muda mrefu kwenye kumbukumbu za Watanzania, mijini na vijijini.

 

11 years ago

Mwananchi

Nenda shujaa Mandela

Yametimia. Saa 6:45 kwa saa za Afrika Kusini (sawa na saa 7:45 za Afrika Mashariki) ni muda ambao pengine hautasahaulika katika historia ya nchi hiyo, kwani wananchi wake walishuhudia ukomo wa maisha ya Rais wao wa kwanza mzalendo, Mzee Nelson Mandela.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nenda Mzee Saria, umeniachia ujasiri

NI Jumatatu nyingine wadau wa Uwanja wa Kuchonga, tunakutana tena kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni lile lile kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Nedy Music — Nenda Salama

Video mpya kutoka kwa msanii Nedy Music wimbo unaitwa “Nenda Salama” video imeongzwa na Abas Adam

 

10 years ago

BBCSwahili

Je waweza kwenda utupu? nenda Mpenjati

Kwa wale wenye mapenzi ya kubakia utupu watakavyo, wamefunguliwa pwani yao huko Afrika Kusini wajiachie watakavyo,watoto nao ruksa

 

11 years ago

Michuzi

KILIMANJARO WALIVYOZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA

Mwenyekiti wa Kamati ya usalama barabarani mkoani Kilimanjaro, Christopher Lyimo akimkabidhi zawadi mgeni Rasmi, Katibu Tawala wa mkoa huo, Dk. Faisal Issa.
Dkt. Faisal Akikata utepe kuashiria uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani.
Kamanda wa Polisi wa wilaya ya Moshi, Hendry Nguvumali akisoma risala ya Kamati ya usalama barabarani kwa niaba ya Katibu wa Kamati hiyo, Kamanda wa usalama Barabarani mkoa wa Kilimanjaro, Joseph Mwakabonga.
Sehemu ya maandamano katika...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: NENDA - WAHU & MOTI ICE


A collaboration between Wahu and Moti-Ice, a new artist on the Kenyan music scene. This is the first single Wahu is dropping after taking a long musical hiatus. Wahu chose to collaborate with Moti because she believed in his talent. Watch and enjoy.




Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani