Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu wamuaga shujaa wa Afrika Mandela

Zaidi ya marais 90 wameungana na wananchi wa Afrika Kusini katika misa ya wafu ya Nelson Mandela na kusimulia kumbukumbu zao kuhusu Shujaa huyo wa Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maelfu wamuaga Celine Kombani

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal jana aliongoza mamia ya waombolezaji waliofurika kwenye viwanja vya Karimjee kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.

 

5 years ago

CCM Blog

MAELFU WAMUAGA GEORGE FLOYD KABLA YA MAZISHI YAKE


George Floyd, Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 46 ambaye mauaji yake na polisi mweupe yamembadilisha kuwa picha ya ulimwengu ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi, atazikwa leo mjini Houston

   
George Floyd, Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 46 ambaye mauaji yake na polisi mweupe yamembadilisha kuwa picha ya ulimwengu ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi, atazikwa leo mjini Houston, ambako alikulia.

Waombolezaji wengi walitengeneza ishara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Umoja wa wasanii wa fani mbalimbali wamuaga JK, wamtangaza kuwa shujaa wa sanaa ya muziki nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Nenda shujaa Mandela

Yametimia. Saa 6:45 kwa saa za Afrika Kusini (sawa na saa 7:45 za Afrika Mashariki) ni muda ambao pengine hautasahaulika katika historia ya nchi hiyo, kwani wananchi wake walishuhudia ukomo wa maisha ya Rais wao wa kwanza mzalendo, Mzee Nelson Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Maelfu wakwama kumuaga Mandela

Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wameshindwa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza mzalendo wa nchi hiyo, Nelson Mandela kutokana na muda uliopangwa kumalizika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kifo cha Mandela:Maelfu waomboleza

Maombolezo ya Kiongozi wa kwanza wa Afrika kusini Nelson Mandela yaingia siku ya pili hii leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Afrika wamuaga Rais Sata

Viongozi wa Afrika wakutana Zambia kumuaga aliyekuwa rais wa taifa hilo Michael Sata

 

9 years ago

Michuzi

MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI NA PACIFIKI WAMUAGA BALOZI DR. KAMALA

Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki Jumuiya ya Ulaya. Mabalozi hao wamemshukuru Balozi Kamala kwa kazi  aliyofanya ya kuongoza Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki. Balozi Kamala amemaliza kipindi chake cha kuwa Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya baada ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Nkenge.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wamzika Meyiwa Afrika Kusini

Maelfu ya watu nchini Afrika Kusini wamejitokeza kumzika aliyekuwa nahodha na mlinda mlango wa timu ya Bafana Bafana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani