Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifo cha Mandela:Maelfu waomboleza

Maombolezo ya Kiongozi wa kwanza wa Afrika kusini Nelson Mandela yaingia siku ya pili hii leo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waomboleza kifo cha Nyani India

Wanakijiji 200 nchini India walinyoa nywele kama ishara ya kuomboleza kifo cha Nyani mmoja aliyekuwa akiishi akribu na hekalu.

 

11 years ago

GPL

CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi na Mbunge wa Kalenga, Dkt. William Mgimwa ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu Afrika Kusini. Kwa masikitiko makubwa CHADEMA kinatuma salaam za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuondokewa na msaidizi wake wa karibu na mtumishi mwenzake serikalini. Chama kinatoa...

 

10 years ago

Bongo5

Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe

Waigizaji wa Nollywood na mastaa wengine wa Nigeria wametumia mitandao ya kijamii kuelezea kuhuzunishwa kwao na kifo cha ghafla cha muigizaji maarufu wa Nigeria, Muna Obiekwe. Marehemu Muna Obiekwe Staa huyo alifariki Jumapili, January 18, 2015 kutokana na kushindwa kufanya kazi kwa figo zake. Miongoni mwa waliotuma salamu zao za rambi rambi ni pamoja na […]

 

11 years ago

GPL

UNDANI KIFO CHA MANDELA

SIYO habari tena, kwani dunia nzima inajua kuhusu kifo cha shujaa wa Afrika, nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, komredi aliyefungwa jela miaka 27 akitetea usawa baina ya wananchi wa Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela.
Risasi Jumamosi, kwa msaada wa vyanzo mbalimbali, linamulika kwa undani chanzo hasa cha kifo cha Mandela, aliyefikwa na mauti usiku wa kuamkia jana, Desemba 5, mwaka huu akiwa na umri wa miaka 95. ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia yaomboleza kifo cha Mandela

Viongozi wa dunia pamoja na wananchi wamejitokeza katika sehemu nyingi duniani pamoja na Afrika Kusini wakiomboleza kifo cha kiongozi wao Mandela

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: Maelfu wajitokeza Marekani kushiriki mandamano usiku kucha

Maandamano juu ya kifo cha raia mweusi wa Marekani George Floyd bado yanaendelea kwa usiku wa nane mfululizo

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Baba azika ua kuchoma maelfu ya miili ya watu kujifariji kwa kifo cha mtoto wake

Mohammad “Mjomba” Shareef amezika ama kuchoma maelfu ya miili ya watu kwa miaka 28 kaskazini mwa India mji wa Ayodhya. Mtoto wake wa kiume aliuawa katika vita 1992 na mwili wake haukuwahi kuonekana zaidi ya nguzo zake tu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi: Kifo cha Nelson Mandela hakitaathiri siasa za Afrika Kusini

Kifo cha Shujaa aliyepigania Uhuru wa Afrika Kusini, Nelson Mandela kimedaiwa hakitaathiri kwa namna yoyote mwelekeo wa siasa na uchumi wa nchi hiyo kwa siku zijazo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maelfu wakwama kumuaga Mandela

Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wameshindwa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza mzalendo wa nchi hiyo, Nelson Mandela kutokana na muda uliopangwa kumalizika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani