Ningemwona Lowassa shujaa kama angekimbilia msituni
EDWARD Ngoyayi Lowassa, ni miongoni mwa Watanzania wachache katika
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Lowassa shujaa?
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, Edward Lowassa, a
Waandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
10 years ago
Vijimambo
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.



10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Lipumba kama Lowassa
YALIYOTOKEA majuzi mjini Dodoma baada ya Kamati Kuu ya CCM kulikata jina la mgombea urais wake, Edward Lowassa, yanaelekea kuukumba Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
CCM ilikaribia kumeguka baada ya wanachama wake ‘wenye imani na Lowassa’ kushinikiza jina la kada huyo kurejeshwa kwenye kinyang’anyiro ndani ya NEC, kabla ya wazee wa chama kunusuru hali hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili mapema wiki hii, wanachama ‘ngangari’ wa CUF nao wamembana Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mwananchi25 Sep
Lowassa: Siwezi kukubali matokeo kama..
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine
10 years ago
GPLAJALI ZA BARABARANI ZIMEKUWA KAMA MCHEZO - LOWASSA
10 years ago
Mtanzania10 Nov
Lowassa: Kiongozi awe na ngozi kama ya tembo

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amesema viongozi wenye maono na wasioogopa kusemwa ndio wanaotakiwa katika dunia ya sasa.
Lowasa aliyasema hayo jana alipokuwa akizindua helkopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima na vitabu tisa vilivyoandikwa na Askofu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
“Hapa duniani kuna viongozi wa aina mbili, kuna viongozi ambao kazi yao ni kusimamia mahesabu na viongozi wenye...
10 years ago
VijimamboLowassa ashangiliwa kama Rais, Mbowe anena mazito.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya...