Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ningemwona Lowassa shujaa kama angekimbilia msituni

EDWARD Ngoyayi Lowassa, ni miongoni mwa Watanzania wachache katika

Mayage S. Mayage

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa shujaa?

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, Edward Lowassa, a

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.

Mkutano Mkuu wa CHADEMA kwa pamoja wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Lipumba kama Lowassa

YALIYOTOKEA majuzi mjini Dodoma baada ya Kamati Kuu ya CCM kulikata jina la mgombea urais wake, Edward Lowassa, yanaelekea kuukumba Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

CCM ilikaribia kumeguka baada ya wanachama wake ‘wenye imani na Lowassa’ kushinikiza jina la kada huyo kurejeshwa kwenye kinyang’anyiro ndani ya NEC, kabla ya wazee wa chama kunusuru hali hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili mapema wiki hii, wanachama ‘ngangari’ wa CUF nao wamembana Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Siwezi kukubali matokeo kama..

Mgombea urais kupitia Chadema anayeungwa mkono na vyama vya Ukawa, Edward Lowassa amesema kuwa hataweza kukubali kushindwa katika kinyang’anyiro hicho mpaka itakapothibitika kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amesema viatu vya Hayati Waziri Mkuu wa tatu, Edward Sokoine ni vikubwa sana na kwamba havivaliki.

 

10 years ago

GPL

AJALI ZA BARABARANI ZIMEKUWA KAMA MCHEZO - LOWASSA

Mbunge wa Wilaya ya Temeke, Abbas Zuberi Mtemvu (kushoto) na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa (kulia) baada ya kumaliza matembezi ya kupinga mauaji ya Albino. Mh Lowassa akisalimiana na wabunge wa mkoa wa Dar es Salaam.…

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Kiongozi awe na ngozi kama ya tembo

Edward Lowassa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amesema viongozi wenye maono na wasioogopa kusemwa ndio wanaotakiwa katika dunia ya sasa.

Lowasa aliyasema hayo jana alipokuwa akizindua helkopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima na vitabu tisa vilivyoandikwa na Askofu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.

“Hapa duniani kuna viongozi wa aina mbili, kuna viongozi ambao kazi yao ni kusimamia mahesabu na viongozi wenye...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ashangiliwa kama Rais, Mbowe anena mazito.

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa (wa pili kulia), akiwa na viongozi wa Ukawa. Kulia ni Mgombea Mwenza, Juma Duni Haji, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia. Picha na Dotto Mwaibale
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani